Bingwa wa dunia wa Formula 1 2021 Max Verstappen amefunguka kwamba alipokea ujumbe wa pongezi kutoka kwa bosi wa timu ya Mercedes Toto Wolff kufuatia mbio za Jumapili wa Abu …
Makala nyingine
Max Verstappen ameeleza kuwa boss wa Mercedes Toto Wolff alimtumia ujumbe wa kumpongeza kutokana na ushindi aliyoupata kwenye mashindano ya Formula 1 usiku wa jana jijini Abu Dhabi. Awali Mercedes …
Max Verstappen alishinda ubingwa wake wa kwanza wa Dunia wa Formula One mbele ya Lewis Hamilton baada ya lap ya mwisho iliyohitimishwa katika mazingira ya kutatanisha katika mashindano ya Abu …
Max Verstappen amekuwa na kiwango kizuri msimu huu huku jana kwenye mashindano ya kutafuta nafasi ameweza fanya vizuri kwa kujihakikishia nafasi ya kwanza kwenye Abu Dhabi Grand Prix mbio zinazofanyika …
Lewis Hamilton na Max Verstappen wanaenda kumaliza msimu ndani ya jiji la Abu Dhabi kwenye falme za kiarabu kwenye mashindano ya mbio za magari za formula 1 wikiendi hii Awali …
Zikiwa zimesalia siku tano pekee kuelekea mbio kubwa za Abu Dhabi Grand Prix ambapo ndiyo kilele cha msimu wa Formula 1 2021 tayari kumwekuwa na mijadala mbali mbali kuhusu mbio …
Kwa miaka mingi, 2021 huenda ndio mwaka ambao mpaka msimu unaelekea mwisho, bingwa wa Formula 1 hajulikani. Wikiendi 2 kuamua nani ni nani. Zimebaki mbio mbili kukamilisha msimu wa Formula …
Sir Frank Williams, mwanzilishi na mkuu wa zamani wa timu ya Williams Racing, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79. Williams aliichukua timu yake ya mbio za magari kutoka …
Kama ambavyo nchi zinavyowania nafasi ya kuendesha mashindano ya Kombe la Dunia, ni vivyo hivyo kwenye Formula 1 [F1], Spanish GP mambo safi! Uhispania sasa ni uhakika, watakua kwenye kalenda …
Nyota wa mbio za magari Lewis Hamilton alishinda Qatar Grand Prix huko Losail International Circuit siku ya Jumapili akimshinda mpinzani wake wa Red Bull Max Verstappen. Hamilton aliongoza kutoka kuanza …
Msimu wa Formula 1, 2021 unaelekea ukingoni zikiwa zimesalia mbio tatu kumaliza msimu. Vita ya Timu Mercedes vs Timu Red Bull, inapamba moto. Mbio tatu za majaribio zimemalizika alasiri hii. …
Bingwa mtetezi wa Formula 1, Lewis Hamilton bado anahali mbaya msimu katika harakati za kutetea taji lake. Hamilton ameshaachwa kwa pointi 19 dhidi ya mpinzani wake mkuu, Max Verstappen (Red …
DR Congo ina vilabu viwili vikubwa [AS Vita na TP Mazembe] ambavyo vitatikisa soka la Afrika! Lakini ukiangalia wachezaji wanaoanza kwenye kikosi cha timu ya taifa hakuna mchezaji wa AS …
Kwa mujibu wa Fernando Alonso, ni rahisi zaidi kwa dereva muingereza kutwaa taji la F1 baada ya mchaka mchaka wa mechi kadhaa. Alonso, yeye amekuwa bingwa wa dunia wa Formula …
Hakika, huu ni msimu ambao Formula 1 inashuhudia upinzani mkubwa kati ya Lewis Hamilton vs Max Verstappen. Madereva wawili wanaowania ubingwa 2021. Zikiwa zimesalia mbio 5 tu kumaliza msimu wa …
Qatar kuandaa mashindano ya Formula 1 Grand Prix kwa mara ya kwanza novemba hii, ikichukua nafasi ya Australian GP baada ya kufutwa mashindano hayo. Mashindano hayo yamepangwa kufanyika kwenye uwanja …
Lewis Hamilton aliweka rekodi mpya na ushindi wake wa 100 wa Formula 1 katika Grand Prix ya Urusi siku ya Jumapili. Bingwa huyo mtetezi tayari alikuwa na ushindi mwingi katika …
Max Verstappen alitania “ninaweza kulala” baada ya Lewis Hamilton kusema kwamba mpinzani wake wa taji anaweza kuwa na wasiwasi wakati anapigania taji la ubingwa wa ulimwengu. Dereva wa Red Bull …
Mshindi wa Formula One Sebastian Vettel anataraji kurejea tena kwenye mashindano ya Formula one akiwa na kampuni ya Aston martin Stroll, ambaye amekuwa na timu tangu mwaka 2019 na amemaliza …
Leo katika Formula 1 kulikuwa na mchezo wa kuigiza zaidi katika shindano la ubingwa wa ulimwengu wa 2021, wakati Max Verstappen na Lewis Hamilton walipogongana kwa mara nyingine katika mashindano …