Makala mpya

Simba Yakutana, Mipango Yawekwa Kuikabili Yanga
SOKA LA BONGO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza ikiwa ni mchezo dhidi ya Yanga. Odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya …

Soma zaidi
Arsenal Wapokea Kichapo Nyumbani
Daily News

Klabu ya Arsenal imekubali kupokea kichapo cha mabao mawili kwa bila mbele ya klabu ya Aston Villa katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza uliopigwa leo katika dimba la Emirates. …

Soma zaidi
Bayern Leverkusen Mabingwa Wapya Bundesliga
Bundesliga

Klabu ya Bayern Leverkusen imefanikia kutwaa taji la Bundesliga baada ya kufanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao matano kwa bila mbele ya klabu ya Weder Bremen. Bayern Leverkusen wanatwaa ubingwa …

Soma zaidi
Eddie Howe: Hatuna mpango wa Kumuachia Isak
Daily News

Kocha wa klabu ya Newcastle United Eddie Howe ameweka wazi kua hawana mpango wa kumuachia mshambuliaji wao kinara ndani ya timu hiyo Alexender Isak kwenda timu nyingine. Kocha Eddie Howe …

Soma zaidi
Liverpool Yapigwa Tena Nyumbani
Daily News

Klabu ya Liverpool imeendela ilipoishia katikati ya wiki na hiyo ni baada ya kukubali kipigo cha goli moja kwa bila leo katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya …

Soma zaidi
Arda Guler Hataki Kuondoka Madrid
La Liga

Kiungo kinda wa kimataifa wa Uturuki anayekipiga ndani ya klabu ya Real Madrid Arda Guler ameripotiwa kua hana mpango wowote wa kuondoka ndani ya miamba hiyo ya soka nchini Hispania. …

Soma zaidi
Manchester City Yakaaa Kileleni Epl
Daily News

Klabu ya Manchester City imefanikiwa kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kufanikiwa kuifunga klabu ya Luton Town kwa jumla ya mabao matano kwa moja. Manchester …

Soma zaidi
Simba Hali Bado Tete
SOKA LA BONGO

Bado bundi analia mitaa ya Msimbazi kwani mambo yamekua hayaelewiki kila uchwao kwa klabu ya Simba ambapo leo wamedondosha alama tena katika mchezo wa ligi kuu ya NBC mbele ya …

Soma zaidi
Tottenham Yapigwa na Kitu Kizito
Daily News

Klabu ya Tottenham Hotspurs imekutana na kitu kizito baada ya kuambulia kipigo cha mabao manne kwa bila mbele ya klabu ya Newcastle katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza. Mchezo …

Soma zaidi
Mtibwa Sugar Ugenini Leo Dhidi ya Geita Gold
SOKA LA BONGO

Ligi kuu ya NBC inatarajiwa kuendelea hii leo kwa michezo minne ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu wa mgeni Mtibwa Sugar dhidi ya Geita Gold ambao utapigwa katika dimba …

Soma zaidi
1 2 3 4 2,037 2,038 2,039