This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
Harry Kane Aikamia Arsenal
Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane ameonekana kuikamia Arsenal kuelekea mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya utakaopigwa kesho katika …
MAYELE ANAIONEA WIVU YANGA
Mwandishi na mchambuzi nguli wa soka nchini, Edo Kumwembe, amesema kuwa mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele, anawaonea wivu YANGA. Edo amesema: “Nadhani kuna tabia ambayo Mayele aliificha akiwa …
Ali Kamwe Hawachukulii Poa Simba
UONGOZI wa Yanga kupitia kwa msemaji wao Ali Kamwe umebainisha kuwa unawatazama wapizani wao Simba kwa utofauti kutokana na uimara walionao hivyo wanawaheshimu kuelekea mchezo wao wa Kariakoo Dabi. Yanga …
KARIAKOO DABI IMEINGILIWA NA WAZEE
MAMBO yameanza kuwa mengi kuelekea mchezo wa Simba na Yanga Jumamosi hii maarufu kama Kariakoo Dabi Ambapo kila upande Umefanyaa maandalizi ya utofauti. Pande zote mbili, zimeukabidhi mchezo huo Kwa …
Mbagala Queens Wababe wa Soka DSM
Timu ya wanawake ya Mbagala Queens imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam baada ya kushinda mabao 3-1 dhidi ya Kinondoni Queens katika mchezo wa fainali uliochezwa …
Simba Yakutana, Mipango Yawekwa Kuikabili Yanga
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza ikiwa ni mchezo dhidi ya Yanga. Odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya …
Arsenal Wapokea Kichapo Nyumbani
Klabu ya Arsenal imekubali kupokea kichapo cha mabao mawili kwa bila mbele ya klabu ya Aston Villa katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza uliopigwa leo katika dimba la Emirates. …
Bayern Leverkusen Mabingwa Wapya Bundesliga
Klabu ya Bayern Leverkusen imefanikia kutwaa taji la Bundesliga baada ya kufanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao matano kwa bila mbele ya klabu ya Weder Bremen. Bayern Leverkusen wanatwaa ubingwa …
Eddie Howe: Hatuna mpango wa Kumuachia Isak
Kocha wa klabu ya Newcastle United Eddie Howe ameweka wazi kua hawana mpango wa kumuachia mshambuliaji wao kinara ndani ya timu hiyo Alexender Isak kwenda timu nyingine. Kocha Eddie Howe …
Liverpool Yapigwa Tena Nyumbani
Klabu ya Liverpool imeendela ilipoishia katikati ya wiki na hiyo ni baada ya kukubali kipigo cha goli moja kwa bila leo katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya …