Alphonse Areola amerudi Paris Saint-Germain akitokea katika klabu ya Real Madrid hali ya kuwa kuwa taarifa anajiandaa kwenda Premier League.
Mlinda mlango huyo alijiunga na Los Blancos kwa mkopo mwezi Septemba mwaka uliyopita na kuweza kusaidiana na golikipa wao namba moja Thibaut Courtois na Keylor Navas amepata dili ya kudumu klabuni hapo.
Areola alicheza michezo tisa katika timu ya mabingwa hao wa LaLiga, ingawa mfaransa huyo amekuwa na nia ya kuondoka tena wakati msimu utakapo anza.
“Real Madrid yathibitisha kuwa wamemaliza dili yao na Alphonse Areola imefika mwisho” Nukuu ya taarifa yao ilisomeka hivyo.
“Klabu inapenda kumshukuru Areola kwa kujitolea kwa hali na mali na kuonesha ujuzi aliyonao katika timu yetu kwa msimu huu na tuna mtakia kila la kheri kwenye kurasa zake mpya kwenye maisha yake.
“Real Madrid pia tunaishukuru klabu ya PSG kwa kutupa nafasi ya kuwa na Alphonse Areola katika kikosi chetu.
Taarifa kwenye vyombo vya habari vya nchini Uingereza zinadai kuwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 tayari amenunua nyumba jijini London kuelekea kuhamia katika ligi ya Premier League.
Klabu ya Chelsea imekuwa ikihusishwa na kunasa saini ya Mlinda mlango huyo ili achukue nafasi ya Kepa na wanatafuta timu itakayo mnunua kipa wao Kepa Arrizabalaga baada ya kucheza chini ya kiwango msimu huu.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Povel
Welcome om ARebola kipa Bora wa muda wote psg
Sabrina
Karibu tena PSG
Zuhura omary kindamba
Kalibu tena PSG
Furahav
Makipa wanawakati mgumu sana.
JULIANA
Yuko vizuri
Leticia
Karibu tena PSG
Issa
Mchezaji mahiri sana huyu
Mwajumah
Areola yupo vizuri sana karibu tenaPSG#Meridianbettz
Hope mwaikuka
Well come back
Ernest
PSG itazidi kuwa imara kwa upande wa makipa
Sadick
Chelsea inahitaji mno golikipa wa viwango vya juu, sidhani kama atakuwa mbadala sahihi wa Kepa#meridianbettz
Rehema
Yuko vizuri
Gabriel
Ni kipa mzur sana Areola
Rose kapinga
Njoo utulie nyumban!!!
jullie
Anakaribishwa tena
Shafii
Ni jambo la kufurahisha kwa wana PSG.
Adelta
Karibu Sana PSG
@meridianbettz
Saupha mohamed
Watu wa PSG watakua wamefurah sana
Dorophina
Areola ni kipa mzuri sana ni jambo jema akirudi home
rama
Maoni:psg ndo nyumbani bhana
Fatina mfingi
Safi
Khadija
Psg itazid kuwa imara kwa upande wa makipa#meridianbettz
felister
Areola kiba bora wa psg
Mwajumah
Ni kocha mzuri sana Areola#Meridianbettz
Caroline
Areola karibu PSG
Zeiyana
Hitakua vizuri Chelsea wakiinasa sain ya areola ni goli kipa makini sana
David Pere
Ni vizuri Kama ataendelea kufanya vizuri Kama alikotoka ili wamwamini
Ester jackson
Kwa Chelsea bado anakiwango kidogo sana hafaii kabisa
Njiku
Bonge la kipaaaa safi sana namkubali aisee
Shan
Yuko vyema!!!
aisha
Psg itafanya vizuri sana kwa kumpata kipa huyu
Tatu
Karibu sana
Zuhura omary kindamba
Kalibu tena PSG
Salma ngende
Kila la heri
Nasra
Ni Jambo la furaha kwa Wana psg kuongeza nguvu kwenye kikosi Chao.
Devotha
Karibu PSG
Theonestina
Karibu PSG
farida ahmadi
Maamuzi mazuri kurudi PSG
marry
nice
Samiah
Krb psg
Latifa juma mohamed
Real Madrid pia tunaishukuru klabu ya PSG kwa kutupa nafasi ya kuwa na Alphonse Areola katika kikosi chetu.
Lydia Emmanuel Magoti
Duu watu hama sio poa
magdalena
wellcome back the super goalkepper
warda
Areola Mkali sana