Mshambuliaji wa Real Madrid, Mariano Diaz amepimwa na kukutwa ameathirika na virusi vya Corona (Covid -19).
Klabu ya Real Madrid iliwafanyia vipimo wachezaji wake wote wakiwa majumbani kwao kabla ya kuripoti kambini ili kubaini kama wameambukizwa COVID-19.
Majibu yaliyotoka mapema leo yamethibitisha kuwa Mshambuliaji wao Mariano Diaz anashambuliwa na virusi hivo. Hivyo atakaukosa mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 bora ya UEFA dhidi ya Manchester City.
Kwa sasa Mariano Diaz amejiwekea karantini nyumbani kwake, ambapo mchana wa jumanne ilielezwa kuwa yupo salama na mzima kabisa. Ameeleza hayo kupitia video aliyoiweka katika kurasa zake za mitandao ya kijamii.
Mariano amesema “Nashukuru kwa jumbe zenu za kunitakia afya njema. Nawashukuru sana. Ila mimi niwatoe hofu.
Mimi ni mzima kabisa pamoja na familia yangu. Kwasasa nimejiwekea karantini nyumbani kwangu. Nina imani nitarejea tena na kujiunga na timu kama hapo mwanzo.”
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
Mwanahamisi
Pole yake mungu atamuafu
caroline
pole sana Diaz mungu akupe kupona
Sadick
Duh ingekuwa habari mbaya kama angebainika katikati ya Ligi#meridianbettz
Tatu
Pole yake
Rehema
Pole sana
aisha
Pole sana Diaz utapona duuh hili gonjwa ni balaa linatesa watu sana
[email protected]
Ugonjwa bado upo
David Pere
Kweli bado majanga yanawndeleaa sijui Kama atacheza mechi ya UEFA
Ester jackson
Habari mbaya mana hata kama ligi imeisha lakini bado anaumuhimu wake katika klabu yake
Antony Luseno
Too sad hope ata recover soon na kuendeleza majukum yake madrid
Fatina mfingi
Pole sana mungu hatakufanyia wepesi!!
Dorophina
Pole yake Diaz naamini atakaa sawa
Latifa juma mohamed
Daah huu ugonjwa bdo unatikisa habari mbaya pole yake Diaz ni vema awe benchi afya muhimu asiwaambukize na waliosalia
Amani
Pole Sana kwake ugonjwa bado upo kuchukua taadhali# meridianbettz
Rose kapinga
Pole xana,soon utapona na kurejea kwenye kandanda!!
Magdalena
Habari mbaya kwa madrid Mungu tu awasaidie wasijekuwa wamepata maambukizi
felister
duh yan huu ugonjwa huajaisha tu bado…?
sauda
Pole Diaz
Zuhura omary kindamba
Pole sana mariano Diaz mungu atakusaidia utapona
Zeiyana
Daah..!pole sana ugonjwa huu umekua hatari sana habari mbaya kwa machabiki wa Real Madrid na clabu kwa jumla hata kama ligi himeisha lakini bado hanaumuimu makubwa sana
Samiah
Pole yake
Khadija
duuh!!pole sana jamani corona bado ipo na ss watanzania wachezaji wetu wajikinge sana na huu ugojwa#meridianbettz
farida ahmadi
Pole Sana diaz
Samira
Pole sana Diaz
neema hassan
Covid19 janga la taifa
Leonard
Pole
Neema juma
Poleee yake
mwajumah
Mh taarifa ya kusikitisha mno #Meridianbettz
Salma ngende
Pole yake
Saupha mohamed
Pole yakee
Fatuma kasomo
Poleee
devotha
ujue huyu corona hana adabu kabisa anataka tu kuharibu mambo tena!! pole sana kwake
Povel
Get well sooon
sabrina
utapona tu
Issa
Corona ni noma sana
Theonestina
Duuuh Pole yake
Hope mwaikuka
Sorry for him
Amiri Kayera
Pole yake
Gabriel
Duuuh
Janeflora malisa
Pole kwak
marry
so sad
Genia Sikaluzwe
Pole
tumaini
Maoni:pole sana
Ernest
Corona bado inaendelea kutikisa ulimwengu amabalo ni jambo la hatari sana katika shughuli zote za kijamii
Furahav
Pole kijana.
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yake
Asia Abdy
Jaman hii Corona sio.poa
Theckla
Duu hatari binafsi niseme pole sana
Shafii
Mungu atamponya.
Omary lukumbi
Duu hii si habar mzr janga hili hatar sana
warda
Hiii Corona jamani ituache tu.