Pedro amethibitisha kuondoka kwake katika klabu Chelsea akitarajia kulekea Roma baada ya kuichezea timu hiyo ya Premier League kwa kipindi cha miaka mitano.
Mshambuliaji huyo wa Spain amemaliza mkataba wake na The Blues na kuna uvumi kuwa atatua katika ligi ya nchini Italia katika klabu ya AS Roma kwa dili ya miaka miwili.
Mchezo wake wa mwisho katika timu ya Chelsea ulikuwa ni wa maumivu baada ya kupata tatizo la bega kwenye fainali ya FA Cup na Chelsea ilipoteza kwenye mchezo huo, hakujumuishwa kwenye kikosi kilicho cheza dhidi ya Bayern Munich katika michuano ya Champons League siku ya Jumamosi.
Katika mtandao wa Instagram siku ya Jumapili, Pedro aliakisi muda wa mafanikio akiwa Darajani, na kushukuru wote kwa kushirirkiana na kujihisi yupo nyumbani baada ya kuhamia klabuni hapo akitokea Barcelona mwaka 2015.
“Baada ya miaka mitano ya maajabu hatua yangu hapa Chelsea imefika tamati,” aliandika.
“Shukrani nyingi kwa bodi ya klabu, walimu na wachezaji wenzangu tulikuwa pamoja bila kusahau mashabiki, asanteni sana mimi kuwa ni mmoja wa familia hii kubwa, mlinifanya nijihisi nipo nyumbani.
“Ilikuwa ni wakati mzuri na heshima kuichezea timu hii na kufanikiwa kushinda Premier League,FA Cup na Europa League na kucheza katika mashindano ya hadhi ya juu ulimwenguni.
“Nilifanya maamuzi sahihi, nina kumbukumbu kubwa zisizo sahaulika katika maisha yangu.”
pedro alikuwa ni sehemu ya kikosi cha Antonio Conte kilichofanikiwa kutwaa taji la Premier League msimu wa 2016-17, wakati pia alibeba taji la FA Cup na Europa League akiwa na klabu hiyo ya jijini London.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Ernest
Binafsi nimefurahi kuona Pedro anapata deal kutoka kwa Roma sababu wamegundua ni mchezaji mzuri, Kila la heri Pedritooo
Hope mwaikuka
Kila la heri uendako
Furahav
Nenda kapambane uko uendako.
Sauda
Safari njema
Nasra
Kila la kheri
farida ahmadi
Kambi popote kila la kheri huko huendako Pedro
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri nihuwamuzi wake Pedro kuondoka kiramtu anamapendekozo yake yeye Kama yeye anataka kusonga mbele
Dorophina
Kila lakheri Pedro safari popote
Samiah
Safari njema
Sylvester
Alikua kwenye kikosi imara toka alivyotoka Barcelona,pongezi nyingi sana kwake kila laheri aendako
Mwanahamisi
Habari njema
Ester jackson
Kila la heri Pedro tutakukumbuka mashabiki wako wa Chelsea mana ulikuwa nasi pamoja
Adelta
Kila la kheri uko uendapo
Caroline
Pedro Ze Blues watakukumbuka
Shafii
Kila lakheri Pedro wana Chelsea tunakushukuru kwa mchango wako ulio tuonesha.
Fatina mfingi
Safi
Sylvester
Ester Mdogo wangu naona utakua unalia sana timu yako ishakua mbovu mbovu ni kunyukwa tu kila siku
Zeiyana
Yupo vizuri sana pedro ukiangalia stori yake ni mchezaji imara sana akiwa uwanjani
Mwajumah
Kila la kheri uendako#Meridianbettz
felister
kila la kheri nakutakia mafanikio uko uendako
Povel
Kil la kheri ashamalizah alichikifuate darajan mwamba
JULIANA
Kapambane
Amiri Kayera
Atakumbukw kwa mazur
Devotha
Kila la kheri Pedro nenda ukang’ae zaidi
Sabrina
Namtakia mafanikio uko Roma
Fatuma kasomo
Kila la kheri
Saupha mohamed
Kila LA kheri
Warda
Acha aende tu jamani ni mambo ya kubadirisha upepo#Meridianbettz
Asia Abdy
Jamaa anajuaa
Omary lukumbi
Pedro neto ni winga machachali sana ni mchezaji mwenye kasi uwanjan anajituma mnoo ilibaki kidogo tuu tumnase Pedro kutua Carrington ila katupiga chenga akaenda the blues na nakumbuka alicho fanya fainal pale uingereza katika uwanja wa Wembley na kumfanya fergie kutetemeka juu ya moto aliokua akiuwasha na wenzie ila majeraha na umri nao umeenda kila la kheri pedro
Rehema
Big up
Mwanahamisi
Kapambane
Sadick
Asante Pedro kwa wakati wako uliokuwepo Chelsea#meridianbettz
Khadija
Safari njema#meridianbettz
[email protected]
Safari njema pedro
Neema juma
Kila la kheri
Janeflora malisa
Safar njm
Issa
Pedro kaonyesha kiwango kizuri sema majeruhi yamfanya awe nje ya uwanja
Gabriel
Pedro n mchezaji mzur sana pia n Jambo zur kubadilisha upepo kwan pedro alikuwa ni sehemu ya kikosi cha Antonio Conte kilichofanikiwa kutwaa taji la Premier League msimu wa 2016/17 wakati pia alibeba taji la FA Cup na Europa League akiwa na klabu hiyo ya jijini London
Ni habar njema sana kuona ataondoka kwenda Roman kuendelea na sakata la mpira
Salma ngende
Safari njema
marry
all the best
jullie
safari njema
Christa
Pole yao, waende salama
Genia Sikaluzwe
Kila la kheri
David Pere
Anawakimbia wachezaji wapya wanaokuja
Rose kapinga
Duuuh! Inasikitisha
magdalena
pedro safari popote kapambane mbele ya safari