Real Madrid walikuwa na sera yao ya Galacticos chini ya Rais Perez alivyoingia madarakani kwa mara ya kwanza 2000-06, aliamini zaidi kwenye kununua Mastaa
Kwa kipindi chake cha kwanza kabla ya kung’atuka aliwanunua Zinadine Zidane, Ronaldo De Lima, David Beckham, Luis Figo, Michael Owen na Robinho, kipindi hicho walibeba UEFA moja na Ligi mbili.
Baadae Madridistas walimpinga sana Perez, waliamini hakuwa anasajili kwa mahitaji ya kikosi wala hakuwa anajali wanacheza vipi bali aliwaza zaidi biashara, akalazmika kubwaga manyanga
Aliporejea kwa mara ya pili 2009, alisajili wachezaji wakubwa tena akiwemo Cristiano Ronaldo, Kaka, Benzema, Alvaro Alberoa, Ozil, James, Isco na Mastaa wengi kikosini.
Awamu ya pili hii amebeba makombe mawili ya Ligi na UEFA nne, lakini safari hii Perez alijuwa kuwa wachezaji alionao hawatokuwepo kwa miaka mitano mpaka sita ijayo ndipo alipokuja na plan maalum kupitia La Fabrica, academy hii ya Real Madrid.
Perez akaanza kuzunguka duniani kote kupitia mawakala wake na kusaini wachezaji Makinda wenye ubora mkubwa sana kisha kuwatoa kwa mkopo, pale Brazil waliwasaini Rodrygo, Vinicius Jr na Reiner Jesus.
Kule Uruguay walimnasa Kinda Federico Valverde, Norway walimchukua Martin Odergard, kinda Takefuso Kubo wa Japan, Sergio Reguillon na wengine wengi wakiwapeleka kwa mkopo kupata muda wa kucheza.
Katika ile project ya miaka mitano au sita iliopita ni sasa imeanza kuwalipa, Odeergard amerejea na huenda akarithi viatu vya Modric, Valverde ametulia kuvaa viatu vya Kroos au Case, Reguillon yupo Spurs akirejea huenda ataanza
Rodrygo Goes na Vini Jr nao wameshaanza kupata dakika za kutosha kikosini, wakijaribu kuvaa viatu vya Gareth Bale na Ronaldo, huku wengi wakimsubiri Takefuso Kubo alie kwa mkopo Villareal na Dani Ceballos kutoka Arsenal.
Huu ni mpango kazi wa Real Madrid na Perez kwenye maisha mapya kutoka Galacticos mpaka kuzalisha watoto wadogo na kufikia sehemu kubwa, ni suala la muda tu, ulikuwa ni mpango kazi tangu 2014 na sasa unatimia.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!
aisha
Watu na sera yao duuh noma sana
Povel
Natumain soon mpango wa perez utakamilika Kwan kuna kila dalili zinaonyesha watoto wameshakwiva katika kupambania namba katika cha la madrid hapo naona Kuna uwezekano mkubwa wa Madrid kuwa rejesha na pamoja na kupata combination nzuri ambayo itawaunganisha pamoja na kutengeneza timu yenye ushindan ndani na nje katika soka la hv sasa
Saupha mohamed
Good news
Sabrina
Hatari sana
Hopemwaikuka
I hope mambo yataenda kama yalivyopangwa
Issa
Plan kali kwa madrid itawapa mataj kwa muda mrefu
Johnmary jo
Kwakweli lazima.uwe na maono ya mbari na ndio maana kikosi lilikuwa bora hadi sasa #meridianbett
Mwajumah
Duuh atari sana
Fatina mfigi
Plan kali Mambo yatakuwa mazur tyu
magdalena
watu wana ndoto za kwenda mbali
zeiyana
huu hupango madrid hutawapa manufaa makubwa zaidi
Elika
Kwa madrid hapo wameteleza
Dorophina
Ndoto zake naamini zitafanikiwa kwa asilimia zote maana naona vijana wapo vizuri wameiva ipasavyo
Sauda
Watu wanaona mbali!!!
Ester jackson
Mpango mzuri ila kama Ronald ataweka sokeni ninaona bora real Madrid wamchukue tena mana hapo panamfaa zaidi
Nasra
Madrid ilikua moto kipind hiko ila zizou anatakiwa airudishe tena
Carolyn
Asante kwa taarifa
Angelina
Nice update
Shani
Madrid ilikua enz hizo
aisha
Madrid ni moto
Fatuma kasomo
Asante kwataarifa meridianbet
Tatu
Mpango wao madrid upo vizuri inawekana kuwafikisha mbali
Lydia Emmanuel Magoti
Madrid ni moto wakuotea mbali
Rahma
Asante kwa taharifa