Kiungo wa Sevilla, Lucas Ocampos anaamini kuwa klabu yake ina ndoto ya kumaliza subira yake ya mda mrefu ya kutwaa ubingwa wa La Liga.
Ocampos anasema bado wana lao kwenye mbio za kuwania taji na hivyo wanatazamia kuchukua taji kwa mara ya kwanza tangia 1946.
Vijana wa Jule Lopetegue, wamefanya vyema katika mechi zao zilizopita na kurejesha matumaini yao kwenye mbio za kuwania taji baada ya kushinda mechi tano mfululizo.
Wikiendi iliyopita, Sevilla wameshinda dhidi ya majirani zao Granada bao 2-1 na kwa mujibu wa Campos hii ni ishara kuwa wapo kwenye nja nzuri ya kuutwaa ubingwa wa La Liga.
“Ni wazi kuwa tuna ndoto ya kutwaa taji. Tunajua haitakuwa rahisi kwa kuwa kuna timu zinafanya vyema kileleni. Tutacheza mechi tano za mwisho na kujaribu kufanya jitihada zetu hadi kiwango cha mwisho. Kuna wakati wetu na mashabiki kufurahi, tunajitahidi kufanya kila kitu” -Lucas Ocampos
Mpaka sasa, wikiendi iliyopita imeisha Sevilla wakiwa nafasi ya nne, nyuma kwa pointi moja dhidi ya Barcelona na Real Madrid, pia nyuma kwa pointi moja dhidi ya Atletico Madrid anmbaye yupo kileleni kwa sasa. Makosa yeyote kwa vinara hao yanaweza kuwagharimu kutupwa nje ya mbio za kuwania taji.
Kwani Meridianbet Wanasemaje! Mkwanja Upo Kwenye Kasino mpya ya Mini Power Roulette.
Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?
warda
Mbona kama ngumu
Elika
Kwa tabu sana
Sania mapua
Ubingwa muhimu
Magdalena
Waongeze juhudi tu
Adelta
Wazidishe juhudi ya mazoezi
dorophina
Wakijitahidi watafikia malengo waonyeshe nia tu
Issa
Mjipange ubingwa uje
Venerose
Juhudi ndio inayo itajika
Johnmary jo
Wazidi kuongeza juhudi ili wasirudi nyuma#meridianbett#
aisha
Mkaze sana la sivyo itabaki maneno tuu
Lydia Emmanuel Magoti
Wajitaidi waongeze juudi
Khadija
Wajitahid sana