Ushawahi kusikia huu msemo sehemu yoyote ile sasa iko hivi mapema kabisa mwanzoni mwa wiki jana kulikuwa na taarifa kwenye kitalu namba tatu cha mitaa ya Agustín de Betancourt nchini Hispania pale mjini Madrid kuwa kijana wa Diaz Alberto yaani Luis Suarez yupo maeneo hayo akifanya mtihani wa lugha ya kiitaliano ili aweze kupata ruhusa ya kuingia Italy (kwa mujibu wa sheria) kukamilisha usajili wa kujiunga na Juventus.
Kwa mujibu wa Fabrizio Romana(Kama humjui huyu achana na maswala ya tetesi za usajili) anyway huyu ni muandishi nguli sanaaa wa mambo ya tetesi za usajili barani Ulaya, Luis Suarez alikuwa tayari kwenda kucheza timu moja na mnyama Giorgio Chielline mtu aliyemfanyia undava kwenye michezo ya kombe la Dunia mwaka 2014 pale Brazil kwa kumngata meno kwa makusudi kabisa.
Naskia Chiellini na Suarez walishamaliza tofauti zao na wako sawa tu lakini siku kadhaa baadae tukasikia kuwa Suarez anataka kwenda zake Atletico maana Juve wana mpango na mtu mwingine sio yeye tena cha kushangaza ni kwamba inaelezwa kuwa Luis Suarez alifanya udanganyifu kwenye mtihani wake wa lugha kwenye Ubalozi wa Italy huo licha ya kufaulu vizuri tu.
Tabia za kujiangusha na kuzawadiwa penati na faulo kaleta kwenye maisha. Anafikiri watu wanasahau vitendo vyake alivyowahi kufanya.? Dhidi ya Ghana, dhidi ya Chiellin au Evra na mengi mengineyo.
“Usimwamini Muongo hata akisema ukweli”…. Fid Q
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
Dorophina
Suarez inabidi akubaliane na matokeo tu inabidi abaki barca au atafute klabu nyingine ya kutumikia
Zeiyana
Suarez na chiellini wamalize tu ugomvi wao mambo yaendelee king kwani hayo ndio maisha ya mpila
Adelta
Asante kwa taarifa
Angelina
Goodupdate
Venerose
Asante kwa makala nzuri
Mwajumah
Suarez inabidi akubaliane tu na matokeo
Fatina
Mmmh
Hopemwaikuka
Ila kweli jaman
aisha
Kweli muongo hata akisema ukweli haaminiki
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa
magdalena
hawa nao wanatuvuruga tu akili suarez akae tu barca atulie
Caroline
Muongo muongo tu
Saupha mohamed
Suarez abaki tu barca
Hidaya
Ukweli humuweka mtu huru
Nasra
Duh
Sauda
Suarez atafute Clab nyingine.
Amiri Kayera
Suarez tatz umli umeenda
Rose kapinga
Maneno hayooo
Khadija
Asante kwa taarifa
Issa
Suarez vituko vyake ndio vinamshusha thamani
Gabriel
Suarez atafute club maana umri nao umeenda
felister
wanatuchanganya tu km vp abakie tu apo apo barca
Rehema
Duuuh
Leonard
Yupo kama mtoto hakui tu
Shan
Kazi kweli
Elika
Duh hatar sana
Ernest
Makala nzuri sema mwandishi umemuhukumu Suarez sana, Jamaa ni talented hili halina ubishi kweli kama Professional alikosea kummg’ata Chellin lakini kwenye swala la kusakata kambumbu Suarez ni moto wa kuotea mbali zile nyingine ni mbinu za kivita katika mchezo wa mpira
Sadick
Dah msemo mpya huu! Ingawa umri umeenda lkn naamini Suarez atafanya vzr sana#meridianbettz
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Lydia Emmanuel Magoti
Suarez atakama umli umeenda ila anaupiga mpila
Tatu
Suarez barcelona ndio panamfaa
Neema
Basi katisha kama muongo muongo ni balaa
JULIANA WILBARD ALEX
Eti
Fatuma kasomo
Gud news
Tahiya
Yuko sahihi
Sabrina
Duh hana jinsi
David Pere
Makala nzuri sema mwandishi umemuhukumu Suarez sana, Jamaa ni talented hili halina ubishi kweli kama Professional alikosea kummg’ata Chellin lakini kwenye swala la kusakata kambumbu Suarez ni moto wa kuotea mbali zile nyingine ni mbinu za kivita katika mchezo wa mpira