Sandro Tonali amevipiga chini vilabu vya Barcelona na Manchester United kwa sababu alitaka kujiunga na Milan, hii ni kwa mujibu wa rais wa Brescia Massimo Cellino.
Tonali ameitwa mara tatu katika kikosi cha timu ya taifa, na alikuwa ni sehemu ya timu ya Brescia msimu 2019-20 ingawa walishuka daraja kushiriki ligi kuu ya Italia maarufu kama Serie A.
Mchezaji huyo umri wa miaka 20 alikuwa kwenye tetesi kubwa za kuhamia klabu ya Inter, lakini sasa anajipanga kujiunga na AC Milan.
Cellino amesema Tonali alikuwa anapendelea kujiunga na Milan licha ya kupata ofa kutoka Barcelona na Man United.
“Mwezi Janauari alipokea ofa yenye thamani €65 kutoka Barcelona,na hazikupita siku 10 akapata ofa nyingine kubwa kuzidi ile ya Milan kutoka Manchester United,” aliiambia Top Calcio 24.
“Lakini kijana alikuwa amelenga kwenda Rossoneri.”
Cellino aliongeza: “Tunajua kwamba Antonio Conte alikuwa ana mfikiria sana Tonali, lakini mimi pia nilishawishika kuona Tonali anakwenda Inter ila kijana amechagua Milan.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.
Rehema
Asante meridianbet kwa habari mzuri
Fatina mfingi
Ni Jambo zuri maan yy ndo mchezaji na anajua wapi aende!!
magdalena
maamuzi mazuri kikubwa unaangalia mkwanja tu
Mwajumah
Ajafanya vibaya tonali kwan anauwamuzi wake binafsi wap aende na wapi apakatae kwani yy ni mchezaji tu anaangalia kwenye maslai#Meridianbettz
Gabriel
Kafanya maamuz mazur sana 👍 kwa kujiunga na ac Milan maana itampa namba nzur sana na kwa nafasi nzur kutokana na uwezo wake
Neema
Kikubwaa maslahi tu
felister
maamuzi mazuri amefanya kachagua kile moyo wake unachopenda
Dorophina
Maamuzi yake yapo sahihi kwa kuchagua Milan watamuangalia kiwango chake naamini watampa namba nzuri
Mwanahamisi
Ni maamuzi mazuri kikubwa ni maslahi tuu
Caroline
Ameenda timu anayoipenda
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri uwamuzi anao yeye kwenda timu anayo itaka kwaio uwamuzi wake Apo ulipo fikia ndio alicho kisema anaenda timu furani kafanya vizuri kusema ndio moyo ulivyo penda kwake kwenda Milan
Ernest
Napata mashaka labda Sandro Tonali anaogopa changamoto ya Namba katika Vilabu vihi vikubwa
lombo
gud news
Tatu
Tonal ameana bora aende Milan huko anaweza akapata nafasi nzuri na kupanda daraja
Nasra
Gud news
Sauda
Bora abadilishe upepo
Hilda
Nice
rama
sawa ndo chaguo lake kuchezea milan
Shani
Mahamuzi magumu
Sabrina
Panamfaa pia
Johnmary joel
Inapendeza sana nenda ukaongeze nguvu#meridianbett
MnonganeJR
Asante kwa taarifa
Khadija
Kipendacho roho maamuzi yake
aisha
Kila mtu anachagua anachokipenda
Povel
Duh noma sana hiiii
Saupha mohamed
Safi
Frank P
Yan barca inakataliwa na wachezaji siku hizii!!?
Amiri Kayera
Kachagua sehem anayopend
Theonestina
Maamuzi ni yake
Rose kapinga
Kupanga ni kuchagua maamuzi yako ndani yake!!!!
Genia Sikaluzwe
Maamzi ni yake
Shafii
Nadhani chaguo sahihi kwake na ndoto zake zilikua kuja kutumikia Milan.
farida ahmadi
Hana maamuzi yake binafsi mwenyewe
Ester jackson
Kafanya chaguo nzuri itampa namba nzur sana na kwa nafasi nzur kutokana na uwezo wake
Samiah
Safi
Hope mwaikuka
Duh
warda
Habari ziko poa sana