Memphis Depay anaamini katika nafasi waliyonayo Lyon wanaweza kuwaondoa Juventus kwenye michuano ya Champions League.
Lyon itakabiliana na timu ya Juventus siku ya Ijumaa wakiwa katika dimba la Turin, kwa mchezo wa marudiano baada yamashindano kusimama kwa takribani miezi mitano kufuatia kuzuka kwa virusi vya Corona.
Depay, ambaye amefunga goli 5 katika michezo mingi aliyocheza katika mashindano hayo kwa msimu wa 2019-20, amerudi kutoka kwenye majeraha na nyota huyo mshambuliajianaamini Lyon wanaweza kuwaondosha mabingwa wa Serie .
“Lazima niseme historia zinaongea kwamba sijafanikiwa kwenye Champons League msimu huu,” alisema Depay
“Nimecheza michezo mitano na Ijumaa nitaendelea kujaribu kadri ya uwezo wangu, nadhani timu nzima inastahili pongezi kwa mchezo wa kwanza walipocheza dhidi ya Juve. Sikuweza kucheza lakini imani na uwezo wa wachezaji na nguvu ya mashabiki ilisaidia timu kufanya vizuri.
“Tunatakiwa tufanye hivyo pia bila uwepo wa mashabiki na kikosi kimekamilika, na uongozi wote tuanatikiwa kuhusika kwenye mchezo huu.”
Depay alifurahia msimu huu hapo Lyon kabla hajapata tatizo la goti mwezi Disemba, Depay amesema kwamba amepata uzoefu mzuri msimu wa 2019-20.
“Nina miaka 26 katika umri huu nimepevuka na nimepata uzoefu kwa mechi nilizo cheza na kunawakati vitu huongea mwenyewe,” Depay alisema.
“Nafikiria namna ya kuisadia timu yangu na kuwa mtu mzuri katika timu, kuhusika, kucheza mpira mzuri, nahisi kama nililega kidogo kucheza soka zuri.”
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Shafii
Hakuna kinachoshindikana kikubwa ni kumsikiliza mwalimu na kujituma kwa nguvu zote wanaweza kushinda.
Mwajumah
Asante kwa makala#Meridianbettz
felister
kikubwa ni kujituma kwa jitihada
zaidi mnaweza mkashinda
Adelta
Mwalimu Ni kila kitu
#meridianbettz
Ester jackson
Kwa ujasiri huo mnaweza kushinda kama mtakuwa mnamsikiliza mwalimu na mtapata matokeo mazuri
Furahav
Inawezekana ila wamuangalie CR7 mtu mbaya.
Zeiyana
Kunakitu kinashindikana jitiada zitumike tu na hitawezekana
Khadija
Kwa ujasili huo mnaweza kushinda#meridianbettz
Caroline
Ha ha ha juve wamejipanga
Mariam mtandama
Habari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Kunakitu kinasemwa ivi usikubali kushindwa mkijipa moyo nakujiamini ndio kitu chamsingi nikujiamini tuu Kama kuweza tunaweza kupambana
Asia Abdy
Safii
Fatina mfingi
Ni kujituma kwenu na kuangalia mwalimu kasem nn na umakin ndo chamsing hapo
farida ahmadi
Usimalize maneno de pay ngoja tujionee wenyewe leo kwenye mtanange huu
Dorophina
Tunataka tuone hayo maneno uwanjani yakifanya kazi mchawi dakika 90
Sauda
Inawezekana! Kikubwa ni kujituma…
Sadick
Lengo la Juventus kumusajiri Ronaldo ili asaidie timu kupata mafanikio ktk michuano hii maarufu barani Ulaya hivyo sidhani itakuwa rahisi hivyo kwa Lyon kushinda mechi#meridianbettz
Tatu
Hakuna kitu kinashindikana jini ya jua kikubwa ni kujituma
Janeflora malisa
Nice
Issa
Lyon safari
JULIANA
Inawezekana kabisa
Hope mwaikuka
Jitihada tu
Devotha
Majibu ya mechi baada ya mchezo kuisha dk 90 Ila wabashiri tunaandaa jamvi mapema kabisa na matokeo tunayajua
Sabrina
Hizo zitakua ni ndoto
Rose kapinga
Hatutaki maneno tunasubir vitendo!!!
Gabriel
Habar njema
Omary lukumbi
Kwenye nia pana njia inawezekana kikubwa jitihada tuu
Zuhura omary kindamba
Wakiamua wanaweza
Neema juma
Juhudi zao tu tunazozitaka
Latifa juma mohamed
Inawezeka juhudi na kujituma ni muhimu.
Ernest
Bahati ya Lyon na juhudi za wachezaji zimeleta matunda, ni hatua nzuri sana wamefika kwenye Uefa kama wataendelea kupambana basi huenda wakafanya makubwa zaidi
Mwanahamisi
Habari njema
aisha
Mnachotakiwa ni kujituma hakuna kinachoshindikana
magdalena
ilikuwa game matata sana
Saupha mohamed
Mechi ilikua atalii
Amiri Kayera
Uwezo anao na nia anayo
David Pere
Maneno take yametimia wamewatoa kweli
warda
Haya maneno wala Depay hajayatupa