Kyllian Mbappe yupo katika hatihati za kuikosa ligi ya mabingwa ulaya baada ya kupata jeraha kwenye mchezo wa fainali ya Coup de France.
Mshambuliaji wa Psg, Kyllian amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufanyiwa madhambi na Loïc Perrin na huenda akaukosa mchezo dhidi ya Atalanta utakaopigwa huko Lisbon.
Mshambuliaji huyo alitolewa uwanjani katika kipindi cha kwanza huku akiwa analia kutokana na rafu mbaya sliyofanyiwa na Perrin ambaye alikirukia kifundo cha mguu (ankle) kitendo kilichopelekea kuoneshwa kadi nyekundu mara baada ya kutazama tukio hilo kupitia VAR.
Tukio hilo huenda likamkosesha Mbappe mchezo dhidi ya Atalanta hapo tarehe 12 ya mwezi Agosti ama akaikosa michuano yote iliyosalia ya ligi ya mabingwa Ulaya.
Pamoja na hayo yote lakini haikumzuia Mbappe kuja kunyanyua kikombe chake cha 10 katika soka lake la kulipwa.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
Zeiyana
Ukiangalia history yake mbappe hanandoto kubwa ya mafanikio katika clabu yake pole sana hizo ni changamoto tu muombe mungu hutapona na hutarudi kwenye ali yake ile ya kawaida na ndoto zako zitatimia
Khadija
Duuh!!pole sana mbappe#meridianbettz
caroline
Mbappe pole sana kwa kufanyiwa madhambi …..
sauda
Ajali kazini, apole sana Kyllian..
Dorophina
Pole yake mbappe
Tatu
Pole yake mbappe
Isaya massawe
Hili ni pigo kwa psg
Mwanahamisi
Pole sana mbappe
Lydia Emmanuel Magoti
Daa pole yakee Mbappe Wana PSG wanapigo lakumia kwa mbappe
Ester jackson
Asee pole sana mana pengo ulilo liacha la kuwabana Atalanta ni kubwa sana itabidi kocha wa PSG afanye kazi ya ziada sana mbappe alikuwa ni mchezaji ambae ukimkutanisha na wezake nerymaa uhakika wakishinda upo asilimia kubwa sana .
Magdalena
Pole Sana mbappe
felister
get well soon mbappe
Rose kapinga
Habar mbaya,mungu atakusaidia afya yako itaimalika Tena!
Genia Sikaluzwe
Pole Sana mbappe ucijali utapona
aisha
Pole sana mbappe utapona
Sadick
Si tu Mbappe ni mchezaji mahiri bali pia ana moyo safi wenye fadhili hasa nikikumbuka pesa yote aliyopata wakati wa kombe la dunia aligawa zote kama msaada#meridianbettz
Fatina mfingi
Pole sana kijan utapona
Frank Patrick
Akuje Liverpool hvyhvy na majeraha yake
Njiku
Mbappe jeshii PSG watakuwa na pengo kubwa la kumkosa mchezaji wao hatar
devotha
pole sana mbappe
Saupha mohamed
Pole sana mbappe
Adelta
Pole Sana mbappe
#meridianbettz
Issa
Kylian ni pigo kwa psg labda wampatie huduma akalikava mapema awahi msimu ujao
Franky
Kavunjwa tayar
Ernest
Ukiangalia mechi ambayo inawakabili dhidi ya Atalanta ni pigo kubwa kwa Psg kumkosa Mbappe
Samiah
Mbappe pole
Hope mwaikuka
Pole dogo
lombo
atakaa sawa tu
Rehema
Pole Sana kijana
Povel
Get well soon
Shafii
Atakua poa soon as possible mungu atamsimamia.
farida ahmadi
Pengo kubwa Sana kwa PSG kutokuwepo kwa mbape
Neema juma
Pole sana Mbappe
Faraja molell
Pole sana mbappe
Latifa juma mohamed
Daah pengo kubwa kwa PSG endapo mbappe atakosekana mungu amsaidie apone haraka majeraha .
Amiri Kayera
Pole san mbappe
Zuhura omary kindamba
Hii ni habali mbaya pole sana mbappe
Edgar
Daaah pole sana
Theckla
Pigo kubwa kwa psg
David Pere
Hata akiwepo PSG hawafiki mbali sababu haya mashindano ya UEFA Yana wenyewe
Omary lukumbi
Pole sana ila pia ni pigo kubwa kwa psg kumkosa bwana mdogo huyu
mwajumah
Daah pole sana Mbappe#Meridianbettz
Salma ngende
Pole yake
Gabriel
Safi sana
Furahav
Utapona tu mbape.
sabrina
Pole Mbappe
warda
Masikin pole yake#Meridianbettz
Janeflora malisa
Pole mbappe
Chiku
Huo ndo mpambano ajali kazini