Raul Jimenez amekuwa akihusishwa na kujiunga na mabingwa wa Serie A klabu ya Juventus na Fabio Capello amesema kwamba nyota huyo wa Mexico naweza kuwa na majukumu kama ya Benzema kipindi Ronaldo yupo Real Madrid.
Raul Jimenez
Nyota huyo wa Wolves alikuwa na msimu mzuri kwa kufanikiwa kufunga goli 27 katika michezo 55 msimu uliyoisha 2019-20.
“Tatizo la Juventus ni kwamba wanauza wachezaji na kuwaachia na kisha wanarudi tena sokoni ,” kocha huyo wa zamani wa Juventus na Real Madrid aliiambia ESPN.
“Nimemuona Raul Jimenez, ni mchezaji mwenye umhimu na anakiwango bora sana.
“Ni aina ya wachezaji wenye uwezo wa kucheza na Ronaldo kwa sababu Christiano Juventus anakosa alichokuwa akipewa na Benzema, Na mtu mwenye uwezo huo ni Raul Jimenez.”
Ronaldo amefunga goli 37 katika michezo 46 wakati wa msimu 2019-20, lakini Juventus walitolewa hatua ya 16 bora katika michuano ya Champions League kabla Maurizio Sarri hajafungishiwa virago akiwa kama kocha mkuu wa Juventus.
Capello anaamini kutokea kwa janga la virusi vya Corona kumeaithiri Juve ambao watakuwa wakiongozwa na Andrea Pirlo katika msimu mpya wa Serie A 2020-2021.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


warda
Mmmm!!!!!Bado sana#Meridianbettz
Mwajumah
Asante kwa makala#Meridianbettz
felister
inawezekana huwezi jua
Dorophina
Bado sana kufikia level hiyo
Khadija
mh!!!!hatasubili sana#meridianbettz
Nasra
Kwa level hyo bado sana
Ester jackson
Kweli kabisa mana pale juventus anaonekana sana Ronald kukosa mwezake wa karibu sana kama akiwa nae kwenye uwanja itapendeza sana mana watapea ushirikiano zaidi kuleta mafanikio pia itakuwa faida kwa Ronald kama alivyokuwa real Madrid na benzema
Fatina
Inawezeka San !!
JULIANA
Asante kwataharifa
Zeiyana
Hina wezekana juve wana tafuta mbadala wa samatta
Magdalena
ajipange sana
Magdalena
ajipange sana ndo aweze kumfikia
Lydia Emmanuel Magoti
Mmmm atasubili Sana
Sadick
Jimenez amekuwa overrated sana na inawezakana asifanya vizuri akiwa nje ya Wolves. Kwa ujumla Wolves imecheza vizuri na kupata mafanikio kama timu#meridianbettz
Samira
Jimenez kumfikia ronadol bado sana
Ernest
Jimenez ni mchezaji mzuri sana hasa kwenye upande wa kufumania nyavu, Kama kweli ataenda Juventus basi Juventus itawaka
Asia Abdy
Badoo
Janeflora malisa
Yupo vzr
Caroline
Tatizo la Juve wanauza wachezaji na kuwaachia na kisha wanarudi Tena sokoni
Adelta
Akiwa na Nia atafanikiwa Ila ajipange vya kutosha@meridianbettz
Hope mwaikuka
Cjaelewa vzur
Sabrina
Jinemez atakua tu Kama Benzema ila akaze baba
Furahav
Jinemez akipambana atakua km benzema wa Ronaldo.
Issa
Jimenez anajua sana ni wakati wa kuendeleza kipaji sehemu ingine
Gabriel
Jimenez yuko vzur sana
Devotha
Anaweza kama atajituma sana
Rehema
Nice
Omary lukumbi
Raul amekua kwenye kiwango bora sana msimu huu
Sauda
Atasubiri sana
aisha
Hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua
Amiri Kayera
Anafunga San mabao
Povel
Inawezekana kikubwa juhud bidii nidhamu na kujituma na woga ya mungu inawezekana
David Pere
Jimenez ni mchezaji mzuri sana hasa kwenye upande wa kufumania nyavu, Kama kweli ataenda Juventus basi Juventus itawaka