Romelu Lukaku anaamini kwamba Inter inaulekeo sahihi baada ya kumaliza katika nafasi za juu katika Serie A.
Ushindi wa 2-0 dhidi ya Atalanta siku ya Jumamosi umefanya Inter wamalize katika nafasi ya pili wakiwa nyuma ya Mabingwa wa Serie A kwa tofauti ya alama moja.
Lukaku amefunga goli 23 katika michezo 36 ya ligi msimu baada ya kujiunga na Nerazzurri akitokea Manchester United kwa dau la €80m amesema mazuri yanakuja katika timu hiyo.
“Serie A imemalizika lakini tunaijenga timu yetu na tuna muelekeo mzuri “ Mshambuliaji huyo wa Ubeligiji aliandika katika mtandao wake wa Instagram.
“Asanteni kwa kutuonesha ushirirkiano katika msimu huu, kwa wachezaji wenzangu, nyie watu mko poa sana. nitawapatia kile nilichojaaliwa.”
Inter wamefikia alama 82 katika michezo yote 38 katika ligi na kuifikia rekodi waliyoweka mwaka 2009-10 walipo beba kombe la ligi wakiwa chini ya mwalimu Jose Mourinho.
Ni mara ya kwanza wanakusanya alama 79 na zaidi bila kushinda kombe la Serie A.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Magdalena
Lukaku yuko vizuri Sana
Adelta
Good news
Omary lukumbi
Safi sana lukaku kwa kazi mzr uliofanya
aisha
Lukaku namkubali yuko vizuri sana
Mwajumah
Namkubali sana lukaku anajua huyu jamaa#Meridianbettz
Ester jackson
Habari nzuri sana kwa mashabiki tumefurah hana kwenye Serie A sasa tuna ngojea mambo mengine kupitia kwa meridianbettz
felister
hongera sana lukaku ongeza jitihada zaidi msimu ujao
Isaya massawe
Lukaku anafanya vizuri sana
Dorophina
Lukaku jembe anajua anachokifanya
Lydia Emmanuel Magoti
Lukaku anaitendea aki timu yake ajaenda kupiga stori kaenda kupiga kazi namkubali Sana jembe huyo
Shafii
Lukaku mchango wake mkubwa pale inter unaonekana dhahili kabisa anastahili kupewa pongezi za dhati na wana inter.
Issa
Lomero kiwango hatari pale inter tofaut alivyokw man u
Sabrina
Kazi nzuri Rukaku
Khadija
Tumeona juhudi zako Lukaku ongera sana kwa kazi nzuri#meridianbettz
Devotha
Hongera kwa mchango wako katika timu
Rehema
Hongera kwa mchango
Furahav
Lukaku mtu mbaya.
Samiah
Mtu mmbaya sana Lukaku
Ernest
Macho yetu kwa Lukaku msimu ujao ndani ya UEFA
MnonganeJR
Asante kwa update#meridianbettz
Sadick
Inter ilianza vzr na uwekezaji wa mchina, nilifikiri msimu uliomalizika majuzi itamaliza ufalme wa Juventus Serie A lakini bahati haikuwa yao. Nataka kuona Lukaku akiwa mfungaji bora msimu ujao#meridianbettz
Fatina mfingi
Lukaku hatari
Mwanahamisi
Hongera kwa mchango
Janeflora malisa
Nice
Saupha mohamed
Hongera kwa mchango
Hope mwaikuka
Lukaku ni mchezaj mzur sana
lombo
saf
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema kwa mashabiki wa lnter
Theonestina
Lukaku jeshi la mtu mmoja
Povel
Gud information
Amiri Kayera
Good quality
farida ahmadi
Hongera Sana lukaku
Latifa juma mohamed
Hongera Sana lukaku ,juhudi na maarifa ziongezeke.
Fatuma kasomo
Lukaku jembe namkubali sana
Aziza mushi
Lukaku mtu makini Sana.👊
Leonard
Lukaku ameonyesha kiwango bora zaid inter milan
Nasra
Lukaku yuko vzuri
David Pere
Wameshapata nafasi ya kushiliki UEFA ni lazima aseme hivyo sababu kila mchezaji mzuri anahitaji kucheza hayo mashindano
Zeiyana
Lukaku amekua na wakati mzuri sana tokea ajiunge na inter Milan mchango wake mkubwa wa kupachika mabao umefanya inter ifanye vizuri msimu huu.
Salma ngende
Lukaku yupo vizuri
Gabriel
Habar njema
Caroline
Inter Ina uelekeo sahihi
warda
Lukaku Mnyama #Meridianbettz