Shirikisho la Soka la Italia (FIGC) limemteua tena Roberto Mancini kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Italia kwa kipindi cha pili, baada ya mpango wa kumkabidhi nafasi hiyo …
Makala nyingine
Nahodha wa Zambia, Barbra Banda, ameendelea kuthibitisha ubora wake kwenye soka la wanawake barani Afrika baada ya kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi mkubwa wa mabao 6-0 dhidi ya Misri …
Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), Nigeria, wameanza vibaya safari yao ya kutetea taji baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-2 kutoka Malawi katika mchezo …
Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF) leo Jumanne, Julai 28, 2026, limemtangaza rasmi gwiji wa soka wa nchi hiyo, Zinedine Zidane, kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya …
Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya Afrika Kusini, banyana banyana Des Ellis, amesema kikosi chake sasa hakina nafasi ya kupoteza pointi nyingine baada ya kufungwa mabao 2-1 na …
Timu ya taifa ya Morocco, maarufu kama Atlas Lions, imeendelea kuweka historia katika soka la kimataifa baada ya kupanda hadi nafasi ya saba duniani katika viwango vipya vya ubora wa …
Kocha wa zamani wa Manchester City, Pep Guardiola, ameripotiwa kufanya mazungumzo na mkurugenzi mpya wa ufundi wa Shirikisho la Soka Italia (FIGC), Paolo Maldini, kuhusu uwezekano wa kuwa kocha mkuu …
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limetangaza kuanzisha uchunguzi kuhusu vurugu zilizozuka baada ya mchezo wa fainali ya michuano ya Dunia, ambapo Hispania iliibuka na ushindi wa bao …
Mashabiki wa Japan wameendelea kupongezwa duniani kote baada ya kuonyesha kiwango cha juu cha nidhamu kwa kusafisha taka katika Uwanja wa AT&T mara baada ya mchezo wao dhidi ya Uholanzi …
Timu ya taifa ya Misri imelazimika kufanya mabadiliko ya ghafla kwenye jezi zake za michuano mikubwa ya Dunia 2026 baada ya Shirikisho la Soka la Kimataifa FIFA kuagiza kuondolewa kwa …
Timu ya taifa ya England imekumbwa na pigo kubwa kuelekea mchezo wake wa kwanza wa Kombe la Dunia 2026 baada ya sehemu kubwa ya vifaa vya timu kuibwa nchini Marekani. …
Kocha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Hugo Broos, amesema bado ana matumaini ya timu yake kufanya vizuri katika mashindano makubwa Duniani 2026 licha ya kupoteza kwa mabao 2-0 …
Kocha wa timu ya taifa ya Korea Kusini, Hong Myung-bo, amepongeza ari ya umoja na mapambano ya wachezaji wake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czech …
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani Gianni Infantino, amezua mjadala baada ya kutoa kauli yake kuhusu sakata la mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, aliyezuiwa kuingia nchini Marekani. Kauli hiyo ilitolewa …
Mashabiki wa Kaizer Chiefs wameonyesha kutoridhishwa kwao na maamuzi ya kikosi cha timu ya taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana, kwa kutangaza kuwa hawataipa sapoti dhidi ya Mexico katika mchezo …
Mechi ya kati ya Egypt na Iran inatarajiwa kuchezwa chini ya ulinzi mkali na katika mazingira yasiyo ya kawaida huko Seattle, Marekani, huku mjadala mkubwa ukiendelea kuhusu vikwazo vya kiusalama …
Nguli wa soka wa England, Ian Wright, ameibua mjadala mkubwa baada ya kukosoa changamoto mbalimbali zinazojitokeza kuelekea michuano mikubwa ya 2026 itakalofanyika Marekani, Canada na Mexico. Wright amesema hali inayoendelea …

