Neymar Jr Atangaza Kustaafu Kuitumikia Timu ya Taifa ya Brazil

Mshambuliaji wa Santos na nyota wa Brazil, Neymar Jr, ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Brazil, akisema muda wake wa kuitumikia nchi yake umefikia tamati baada ya miaka mingi ya mafanikio na kujitoa uwanjani.

Neymar Jr Atangaza Kustaafu Kuitumikia Timu ya Taifa ya BrazilNeymar, ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha Brazil kilichoshiriki michuano ya Dunia 2026, amesema ametoa kila kitu kwa ajili ya taifa lake na sasa anaamini ni wakati mwafaka wa kufunga ukurasa huo na kuelekeza nguvu zake katika hatua nyingine ya maisha yake ya soka.

mpira wa miguu, kubeti mpira wa miguu, bashiri soka, soka, beti kwenye soka, odds za soka, bashiri mpira wa miguu, beti za soka, beti mechi za soka, odds za kubeti mpira wa miguu

“Muda wangu na timu ya taifa umeisha. Ninaamini nimeandika historia huko, na nilifurahia kila wakati. Nimepitia mengi, nimetoa damu, jasho na maisha yangu kwa ajili ya jezi ya njano, lakini sasa nahisi sitaki kuendelea tena,” amesema Neymar.

Neymar Jr Atangaza Kustaafu Kuitumikia Timu ya Taifa ya BrazilNyota huyo anaondoka akiwa mmoja wa wachezaji walioweka alama kubwa katika historia ya soka la Brazil, kutokana na mchango wake mkubwa ndani ya timu ya taifa kwa zaidi ya muongo mmoja.

Neymar Jr Atangaza Kustaafu Kuitumikia Timu ya Taifa ya BrazilKatika kipindi chake cha kuitumikia Brazil, Neymar amecheza mechi 130, akifunga mabao 80 na kutoa asisti 59, rekodi zinazomweka miongoni mwa wachezaji bora kuwahi kuvaa jezi ya taifa hilo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.