Frank Ribery amehusika katika kamba 40 msimu mzima, ametwaa tuzo ya mchezaji bora Bundesliga, amebeba treble pale Ujerumani, kabatini amezifungia medali za UEFA, taji la ligi kuu na DFB POKAL …
Makala nyingine
Huyu ni Cassius Clay, bondia ambaye baadaye akabadili dini na jina na kuwa Mohamed Ali. Cassius Clay au Mohamed Ali, alikuwa bingwa wa masumbwi na maneno ya shombo kuwahi kutokea. …
Stori za vijiweni kuhusu Mpira zinaniumiza sana, unamuona aliepo pichani? Ni Andres Iniesta Professa wa Mpira na Baba Paroko nje ya uwanja, aliecheza Barcelona na kuheshimika zaidi Real Madrid, ila …
Walikuwa juu sana kwenye soka la dunia 1996 wanabeba EURO pale Wembley kwa kumfunga Jamhuri ya Czech, kisha 1997 Borussia Dortmund anaenda kubeba UEFA, 2002 wanacheza fainali kombe la dunia …
Binadamu sisi tumelala muda wote, alisema Muhammad Ali kisha akamalizia kuwa kuamka kwetu ni pale tu baada ya kufa, nafikiri tulikuwa tumelala hatukuwahi ifahamu simulizi hii ya leo. Fumba macho …
Mchezaji wa zamani wa Argertina, Diego Maradona, ametolewa hospitali siku ya Jumatano, na kuelekea kliniki ya kurekebisha tabia ili kuacha kutegemea pombe. Nyota huyo ambaye anakumbukwa kwa kufunga bao la …
Hassan Mwakinyo, bondia Mtanzania amesema kuwa alijipanga kuibuka na ushindi mbele ya mpinzani wake Jose Carlos Pazi wa Argentina jambo lililompa ushindi. Bondia Mwakinyo usiku wa kuamika leo amefanikiwa kuetetea …
Simba SC ndio timu pekee kutoka Tanzania itakayo itakayo wakilisha Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa (Caf Champions league) imepangwa kucheza na Plateau United ya Nigeria kwenye hatua ya awali ya …
BONDIA maarufu Bongo, Abdallah Pazi ‘Dulla Mbabe’ ameondolewa kuzipiga na bondia kutoka DR Congo Alex Kabangu na nafasi yake imechukuliwa na Hussein Itaba. Pambano hilo limepangwa kufanyika Novemba 13 ukumbi …
Kaskazini Mashariki mwa Hispania kuna mji mdogo uitwao Jaca ndani ya Jimbo la Huesca, ndipo hapo alipokulia Mrembo aitwae Georgina Rodriguez kwa Baba Muargentina na Mama Mhispania Ugumu wa maisha, …
Wakati wamemaliza mazoezi walipewa wasaa wa kuzunguka ndani ya klabu ila ndoto ya Mbappe ni kuonana na Cristiano Ronaldo, Zidane kamshika mkono Mbappe kuelekea ilipo timu ya wakubwa ili Kinda …
Timu ya Taifa Stars ya Tanzania leo imepoteza kwa kufungwa bao 1-0 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Kwenye mchezo wa leo ambao mgeni rasmi …
Mataifa ya Uhispania na Ureno yameingia mkataba maalumu wa kuunda muungano wa kujipigia chapuo kuandaa michuano ya kombe la dunia (FIFA WORLD CUP) mwaka 2030. Awali katika muungano huo pia …
Inaendelea.. Lazima ndani ya Barcelona kuna umoja, ukaribu na urafiki. Lakini aina ya mashabiki ambao Suarez atawakumbuka na mazoea kama mwanadamu wa kawaida, hivyo ni lazima kumwaga chozi. Yote sawa, …
Kocha mkuu wa Barcelona, Ronaldo Koeman huenda anaweza kuikosa huduma ya nyota wake Lionel Messi raia wa Argentina kwenye mechi tatu za La Liga ikiwa nyota atakwenda kwenye majukumu ya …
Bondia wa Tanzania, Cosmas Cheka, ameshinda pambano dhidi ya Mmalawi, Hannock Phiri, lililofanyika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro, usiku wa kuamkia leo Septemba 14, 2020. Mabondia hao walipigana kwa uzito wa …
Angel Di Maria, Neymar,Leandro Paredes na Keylor Navas wamejumuishwa katika kikosi cha Paris Saint-Germain kwa mchezo wa Jumapili wa Ligue 1 dhidi ya Marseille baada ya kumaliza siku za kukaa …
UNAKUBALI KUWA ASILI YA SOKA NI CHINA? Mchoro wa mchezo wa kandanda katika makumbusho ya Linzi Kufika sasa ni dhahiri kuwa China ilikuwa na vilabu vya soka, sheria, na …
ULIANZIA WAPI HASA? Kwa zaidi ya miaka 2000, Wachina wamekuwa wakicheza mpira wa cuju au zuqiu, ambao hutamkwa tsoo-joo unaohusu upigaji mpira shuti kwa kutumia mguu kwa Kiingereza “kickball”. Neno hilo hutumika kumaanisha kandanda hadi …
Ningepata mtu anihakikishie sio kufuru, ningesema hajazaliwa na mwanamke kama binadamu wengine. Ningepata mtu anihakikishie sio dhihaka, ningesema alitengenezwa maabara sawa na maroboti wenzake. Ningepata mtu anihakikishie sio dharau ningesema …