Michuano ya Kombe la Dunia imemalizika nchini Urusi, lakini licha ya mchezo huo kuwa na ufuasi mkubwa, ni wachache sana ambao hutafakari kuhusu chanzo cha mchezo huu maarufu. Suala hilo …
Makala nyingine
Kila kocha ana misingi yake katika timu wanazofundisha ambapo ndani ya msingi huo kuna mifumo , kiungo wa zamani wa Juventus Antonio Conte ni muumini sana wa mfumo wa 3-5-2 …
Chelsea inafanya mazungumzo na Rennes juu ya kipa wa kimataifa wa Senegal, Edouard Mendy baada ya kusitisha mipango yao kwa kipa mwingine, Mike Maignan wa Lille – Maignan alikuwa ndio …
Hadi Sir. Alex Ferguson alinyoosha mikono juu na kukiri kwamba amewashindwa. Wakati Barcelona wanaibutua Man United katika fainali ya UEFA mwaka 2011 pale Wembley, shoka Iniesta na mpini wake Xavi …
Italy wanapigwa 4-0 ndani ya Kyiev Ukraine. Wameshindwa kabisa kujibu maswali magumu wanayoulizwa na Hispania. Watafanya nini mbele ya watoto wanaowaka moto mguuni? Katikati yupo Sergio Busquets, Xavi Hernandez, David …
Tasnia ya michezo nchini marekani imekumbwa na sintofahamu bada ya baadhi ya michezo kusimamishwa kugomea ukiukwaji wa haki za kibinadamu zinazofanywa na Polisi nchini humo, wanamichezo kutoka michezo mbali mbali …
PSG VS BAYERN MUNICH Mechi ngumu sana, itakayoamuliwa kwa mbinu zaidi ya ubora wa wachezaji. Makocha wote ni wajerumani, wanailewa falsafa ya mpira wa Ujerumani. Kila mmoja anataka kuandika historia. …
Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck leo Agosti 22, imeibuka na ushindi wa mabao 6-0 mbele ya Vital’O ya Burundi kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliochezwa …
FIFA inawasaidia wachezaji wa soka wenye uraia wa nchi zaidi ya moja kubadili kuwakilisha timu ya taifa hata kama walishaichezea nchi nyingine lakini Kuna sheria za kufuatwa – Haya ni …
Ipi hukumu kubwa zaidi kuwahi kutolewa duniani? Hakuna anayejua jibu sahihi. Ila ipo moja tunayoweza kuitumia kama mfano, japo sina hakika kama ndiyo hukumu ya kikatili zaidi kuwahi kutolewa katika …
Aliyewahi kuwa Kocha wa Klabu ya Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger amekusudia kurejea tena katika majukumu ya kufundisha soka baada ya kutuma maombi rasmi kwenye chama cha soka cha Uholanzi. Taarifa …
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa leo amewaaga rasmi mashabiki wake kwa kusema kuwa msimu ujao hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga. Kupitia ukurasa wa Instagram,Ngassa ameandakika hivi:-“Kwanza nitoe shukrani …
Mshambuliaji namba moja wa Klabu ya Mbao FC, Waziri Junior leo Agosti 2, ametambulishwa rasmi kuwa mali ya Yanga. Junior amesaini dili la miaka miwili akiwa ni mchezaji huru baada …
Ayoub Lyanga, kiungo mshambuliaji mwenye mabao nane na pasi nane alipokuwa ndani ya Coastal Union leo Agosti 2 amesaini kandarasi ya miaka miwili kuitumikia timu hiyo. Lyanga amefanyiwa vipimo mapema …
Ni kama kocha mkuu wa Simba Sven Vandernbroeck amekubali yaishe Simba, na hii inatokana na interview ya jana mara baada tu ya ushindi wa 2-1 vs Namungo. Mtangazaji alimuuliza Sven …
Kalamu yangu hii inapewa nguvu na Emiliy Dickinson. Mshairi mahiri sana nchini Marekani. Emily alisema, “ukitaka dunia isikusahau, fanya makubwa, halafu ufe mapema.” Sijui alifikiria nini kusema vile, lakini maneno …
Beki wa kushoto wa kimataifa wa Rwanda anayeichezea Rayon Sports, Eric Rutanga ni mali ya Yanga baada ya kusema kuwa ameshasaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo. Hivi karibuni …
Azam FC wamekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa kimataifa wa Rwanda, Ally Niyonzima, kwa mkataba wa miaka miwili. Niyonzima aliyekuwa akicheza Rayon Sports ya Rwanda, usajili wake ni sehemu ya …
Bakari Mwamnyeto beki kisiki wa Coastal Union leo Agosti Mosi amesaini dili la miaka miwili kuitumikia Klabu ya Yanga. Nyota huyo alikuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga kwa muda …
Beki kisiki w Arsenal David Luiz hapo jana aliweka rekodi yake ndani ya EPL msimu huu ya kuwa beki wa kwanza aliyecheza madhambi mengi yaliyopelekea timu yake kuadhibiwa kwa mkwaju …