Al Ahly Mabingwa CAF Super Cup 2021.

 

Miamba ya Misri Al Ahly ilionyesha ubabe wao wa michezo ya Afrika na makombe jana Ijumaa walipowachapa Renaissance Berkane ya Morocco 2-0 na kushinda Kombe la CAF Super Cup.

Ilikuwa rekodi ya saba ya Kombe la Super Cup kwa Al Ahly, ambaye mataji yake tisa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika yanawafanya kuwa timu yenye mafanikio zaidi barani.

Mohamed Sherif alifunga bao la ufunguzi huko Doha kwa shuti kali la mguu wa kushoto dakika ya 57.

Salah Mohsen aliyetokea benchi alimzunguka kipa wa Berkane kabla ya kufunga nyavu tupu kwa bao la pili dakika ya 82.

Ahly walishiriki kama washindi wa Ligi ya Mabingwa wakati Berkane alishinda Kombe la Shirikisho msimu uliopita – taji lao kuu la kwanza.


BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

Acha ujumbe