Trent Alexander-Arnold atavalia viatu vilivyo na maandishi “Black Lives Matter”siku ya mchezo wao dhidi ya Everton lengo ni kuendelea na kusambaza ujumbe unao pinga ubaguzi na kutetea haki za maisha ya mtu mweusi.
Kufuataia kuuwawa kwa Mmarekani mweusi George Flyod akiwa mikononi mwa polisi mwezi uliyopita yamefanyika maandamano yanayo lenga kupinga ubaguzi wa rangi ulimwenguni watu mbalimbali mashuhuli wamejaribu kuonesha ujumbe mbalimbali wenye nia ya kutokomeza jambo hilo.
Wachezaji wa mpira katika ligi mbali mbali wamekuwa wa wakivalia tisheti zenye maandishi “Black Lives Matter” juu ya namba zao badala ya Majina, pia wachezaji wamekuwa wakipiga goti chini kwa sekunde tisa kabla mechezo haujaanza.
Manchester City wamethibitisha ya kuwa BLM itaendelea kubaki katika jezi zao mpaka mwisho wa msimu huu.
Liverpool watarudi dimbani kuumana na Everton Jumapili hii na mchezaji wao Alexander-Arnold amepanga kuvaa kiatu chenye ujumbe huo wa “Black Lives Matter” na kisha kuvifanyia mnada kwa lengo la kukuza mfuko wa fedha katika kituo cha Nelson Mandela.
“Tunahitaji kuongea kwa njia nyingine kufikisha ujumbe” aliandika hivyo kijana huyo mwenye umri wa miaka 21 kwenye mtandao wake wa kijamii “Usiku wa Jumapili kiatu changu kitabeba ujumbe wenye Black Lives Matter.
“Watu weusi wanaonekana tofauti, tuna kabiliana na ubaguzi kwa vitendo ni zaidi ya vurugu na dhulma,fursa za kuishi zimezuiwa katika njia mbalimbali.” Ni ajabu jambo hili kuendelea kuwepo mwaka 2020.
“Kwa hiyo wakati tuna nafasi, ambapo watu wanaweza kusikiliza, acha tuongee, tuelimishe, tufanye kampeni na acha tuutangaze ujumbe wenye elimu nzuri ili kuleta mabadiliko.
Elika
Huyo ni upendo wa kumthamini mtu mweusi na kuyapinga mauaji ya watu weusi huko Marekani..rest in peas George bado tutamkumbuka
Hamidu
AAT mkali wa assist pale liverpool.. Dogo anajituma sana. Namkubali sana. #meridianbettz
Issa
Atasaidia pia katika harakati za kutetea mtu mweusi
Povel
Black 👊👊 lives matter PLAY together 🙏🙏🙏
isha
Kweli kabisa mimi namuunga mkono Alexander kwa kuvaa kiatu hiko na kutokomeza jambo hilo la ubaguzi na kutetea haki za watu weusi 😝😝😝😝😝😝
Dorophina
Huo Ni mchango katika jamii kuwaamasisha kupinga ubaguzi ila dogo yuko vizuri uwanjani
Ester jackson
Watu weusi wanaonekana tofauti sana na watu wengine hivyo tunapinga ubaguzi wa rangi kwa upande wa michezo imeonekana kuwa mbinu nyingine nikutumia katika michezo ili kuwagikia watu wengi ili kudumisha umoja wa rangi zetu ila leo Everton wanapigwa
Lydia Emmanuel Magoti
Dogo anajituma Sana mkali wa assist pale liverpool namkubali kinoma
Zeiyana
Watu wengi weusi wamekuwa wakikumbwa na huu hunyanyasaji naimani ulimwengu umeamka kukabiliana na janga hili r i p George flyod
Genia Sikaluzwe
Ahsant sana meridianbet kwa taarifa
Theckla
Huo ndo uzalendo
Shafii
Anord beki mahiri wa Liverpool namkubali Sana
Caroline
Nimependa iyo
felister
safi Alexander
farida ahmadi
Vizuri Sana kwani kubaguana sio vzr hongera Sana Alexander
Sadick
Issue ya George Floyd imekuwa kama njia ya kiberti kuwashwa kwenye msitu mnene. Ndio, moto umewashwa lakini tunahitaji miaka mingi kutokomeza vitendo vya uonevu kwa watu wote duniani sio weusi pekee yao.Maisha ya kila mtu ni muhimu#meridianbettz
Furahav
Itakuwa poa.
Omary lukumbi
Huu ni upendo pia n uthamini wa watu wa jamii yako sehem yoyote ile dunian hongera kwa hilo wenzetu na mataufa makubwa dunian bado wana ile tabia ya kubagua watu weusi
Neema
Nimewapenda bure kwa sababu wanauchungu wa kutetea haki. Hasahasa ubaguzi usiotakiwa
Leonard
Ni jambo zuri kupinga ubaguzi wa rangi
Njiku
George floyd aliuwawa na wamarekan weupe na walimfanya wawezapo kwa rangi yake sio poa aisee kifo chake wa afrika wote tuliguswa kwa kifo hicho,hivyo bhasi licha ya wachezaji kuvaa jezi za black live matters je watabadilika maana kuvaa sio tatozk ila tatizo kubadilika na kutokombeza ubaguzi wa rang
Mwanaidi
Ni vizuri kiendelea kupinga ubaguzi wa rangi
Frank Patrick
God bless you Trent ….YNWA
Hope mwaikuka
ITU ni bora sana
Sabrina
Maoni:Ni kweli inabidi ni kupinga ubaguzi wa rangi.watu weusi wanapata tabu sn wakienda kucheza uko nje
Amiri Kayera
Safii huo ndo umoja wa watu weusi nimepend hyo
Theonestina
R.i.p George tutakuenzi daima
Edgar
hahahhaah iyo mechi si ya kuikosa kabisa
David Pere
Safi Sana mpaka watajua tu kwanini waliwauwa watu weusi
Ernest
Ni jambo zuri kuona watu mbalimbali wakijitokeza kupinga vitendo viovu juu ya watu wenye rangi nyeusi duniani
Tahiya
Ni ubunifu mzur wa kufikisha ujumbe kwa jamii
Hidaya
Asante meridianbet kwa habari hii
Latifa juma mohamed
Watu weusi tumekuwa tofaut kubwa ktk nchi za rangi nyeupe kuendelea kutukandamiza,jamii iliyo Bora itaendelea kupinga ubaguz wa rang duniam kote
mwakalosi
nahisi dunia ishapaza sauti kwa kiwango cha juu sana kama watu hawawezi kubadilisha mitazamo basi badili mtazamo wako hii black lives matter iwe sasa change lives matter
Samiah
Niubunifu mzuri sanaa
Magdalena
Upendo was hali ya juu
Devotha
Inaleta faraja kuona watu mbalimbali wanaungana kupinga ubaguzi wa rangi kwa watu weusi
warda
Ni vizuri kwa kweli#Meridianbettz
Mwanahamisi
Ni ubunifu mzuri sana
Evaluziga
Itasaidia katika harakati za kusaidia mtu mweus
Khadija
Ni vizuri kwake#meridianbettz
Salma
Alitumia njia sahihi kufkisha ujumbe
Gabriel
Hii n Kali sana maana evarton wakiwa nyuban hawanaga masihala kabisa
Amani
Maisha ya kila mtu ni muhimu#meridianbettz
Rehema
Duu jaman nimeipenda hiyo
Asia Abdy
Alexander namkubal
Gabriel
Inapendeza sana kwa Alexander
# meridianbet
Fatuma kasomo
Nimeipenda kwasababu wanauchungu wakutetea haki haswaa ubaguzi usitakiwa
Saupha mohamed
Safi
Samira
Vizuri sana Alexander Mungu akubariki
Angelina
Nice
Emmy cleopa
Itakuwa vizuri