Kocha wa Everton, Carlo Ancelotti ameshatakiwa na wanasheria wa Spain kwa kukwepa kodi ya 1m euros (£904,000).
Mashtaka hayo ya kodi yanahusu mapato ya haki za picha wakati akiwa kocha wa Real Madrid 2014-15.
Ofisi ya Mwanasheria ya Madrid imesema kocha huyo Muitaliano amekwepa kodi ya serikali kwa kukusudia.
Ancelotti bado hajajibu tuhuma hizo na Everton wamesema hawana cha kusema kuhusu tuhuma hizo.
The Toffees wamecheza mechi yao ya kwanza tangu Premier League irejee dhidi ya Liverpool Jumapili na kumalizika kwa sare 0-0 pale Goodison Park.
Ancelotti, aliichukua klabu ya Merseyside mwaka 2019 baada ya mwaka mmoja akiwa Serie A kwa Napoli.
Issa
Alipe faini hiyo kukwepa kodi unaipa hasara taifa
Gabriel
Kwel wenzetu wanasheria Kali sana maana ukiangalia picha za mwaka 2014 /15 ambazo ancelotti alipiga ila bado still kesi inaendelea kwa kocha huyu licha kutokuwepo clubun
Ester jackson
Ancelotti anatakiwa ajibu kesi na pia alipe deni analo daiwa hivi kwa nini watu wakubwa wenye fedha zao wanakwepa sana kodo inabidi viongizi waangalie kwa jicho la tatu kukomesha hali hiyo
Hamidu
Alipe tu faini! Maana kocha mkubwa kama wewe udhalilishwa sio poA.
Shafii
Ingekua vizuri izo Sheria zikazingatiwa kwa umakini na huku hata Kama ipite mda gani still Deni utalilipa Safi sana
mwakalosi
hili swala kodi spain inabidi walifanyie reform maana haiwezekani kila mtu awe anakwepa messi ni mmoja wa wahanga
Povel
Sheria ifuate mkondo wake hapo thnks meridian bet kwa information
Dorophina
Alipe tu faini yaishe
Sadick
Kwa spain issue ya kodi sishangai,wengi wa wanasoka wanakutana na msaala huu, alikuwa Mouriho, Messi ,Ronaldo na sasa tunasikia Alosnso na Ancelotti. Inaonekana kuna mianya ya kukwepa kodi inayotakiwa kuzibwa#meridianbettz
Samira
Alipe hiyo faini kwani alijua kabisa kutokulipa kodi ni kosa kisheria
Neema juma
Vitu vingine bhana watu wanajitafutiaga mafaini ya lazima. Apambane na hali yake
isha
Jamaa anachezea serikali yani angekua bongo uyo mzee magufuli angeshamtumbua tena bahati yake yuko huko wewe hapana chezea pato la nchii lipa tu hiyo kodi mzee baba acha kiswahili
Ernest
Hii kali, Miaka yote hiyoo leo ndo wanasema maswala ya kukwepa kodi!!!???
Amiri Kayera
Duh hatar
Leonard
Wanasheria watende haki tu
Njiku
Dah kumbe mpka ulaya watu wanakwepa kodi mimi nikajua hapa bongo ndio wabishi haya bhana kazi kwake ancelot lipa kodi wwe
Mwajuma
Alipishwe faini ili iwefundisho kwawengine
Sabrina
Maoni:Kocha Carlo Ancelotti inabidi ajibu tuhuma zinazomkabili dhidi ya tuhuma zinazomkabili ya kuto kulipa kodi ya mapato ya picha alipokua kocha wa Rear madrid 2014-15 la sivyo sheria itafuata mkondo wake
Theckla
Awajibike tu
David Pere
Wahispen washaanza kumzingua kocha wa watu
Tahiya
Imekuwa kama katabia kwa baadhi ya wanamichezo na watu maaruf uko ulaya kukwep kodi sijui ni nini tatizo
fatumakasomo
Alipishwe tu fain
Hope mwaikuka
Alipishwe tu
Ester mmakasa
Alipe kodi huyo asiwe mjanja .
Aziza mushi
Sheria ifuate mkondo wake alipe Kodi uyo
Neema hassan
Adhabu Kali apewe iwe fundisho kwa wengine..
Frank Patrick
Shria ifuate mkondo wake
Mwanaidi
Hapo sheria utumike tuu
Samiah
Bora awajubiketu
farida ahmadi
Duh nouma Sana hii lakini Carlo anellcot inabidi tu ashitakiwe kwa kosa hili sheria inabidi ifate mkondo wake
warda
Pole yake jamani#Meridianbettz
Magdalena
Kulipa Kodi muhimu ili kuonyesha uzalendo
Latifa juma mohamed
Timiza wajibu wako, uishi kwa amani ache sheria ifuate mkondo wake
Lydia Emmanuel Magoti
Duu kafanya nn Babu wawatu zoluba gani lililomkuta mzee huyo
Genia Sikaluzwe
Duuuuh hatari amekosea nn tena mzee
felister
duh hatari mpk uko kuna wakwepaji wa kulipa Kodi.. mm nilikua bongo tu ndo tuna ayo mambo
Caroline
Aisee pole sana iyo case sio ndogo
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Evaluziga
Awajibike kisheria
Zeiyana
Alipe kodi tu lasiivyo sheria ifuate mkondo wake
Rehema
Awajibike kisheria
Furahav
Afungwe tu.
Christa
Hivi ni kwann wanakwepa kodi wakati wanajua wanajulikana sana?
Adelta
Alipe tu fain yaishe na iwe fundisho
Salma
Alipe tu faini yaishe
Amani
Messi ,Ronaldo na sasa tunasikia Alosnso na Ancelotti. Inaonekana kuna mianya ya kukwepa kodi inayotakiwa kuzibwa#meridianbettz
tumaini
Maoni:Awajibishwe kwakosa alilofanya
Theonestina
Duuuh atar Sana
Elika
Hadi wazungu wanakwepa kodi hiyo ni hatari sasa…apewe faini na kodi alipe
Khadija
Sheria ifate mkondo wake#meridianbettz
Saupha Mohawks
Asantee kwa taalifa mzurii
Devotha
Alipe faini
Mwanahamisi
Alipe tuu faini
Angelina
Awajibishwe
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa