Mlinzi wa Timu ya Derby County Andre Wisdom yupo hospitali baada ya kujeruhiwa na waharifu.
Vyombo vya habari vimeripoti siku ya Jumatatu mchezaji wa zamani wa Liverpool alivamiwa na kupigwa wakati alipokwenda kuitembelea familia yake katika maeneo ya Toxteth baada ya Derby kushinda kwa magoli 2-1 dhidi ya Reading siku ya Jumamosi katika mashindano ya Championship.
Derby baadaye walithibitisha kwamba Wisdom aliyekuwa amevamiwa na waharifu kwamba yupo hospitali alikuwa akiendelea vizuri.
“Derby County Football Club wanathibitisha kwamba Andre Wisdom ni majeruhi katika tukio la kiarifu lililompata,” ujumbe ulisomeka kama hivyo.
“Alipata majeraha ambayo yalimpelekea kupelekwa hospitali, ambako anaendelea vizuri na hali mpaka sasa.”
Polisi wa Merseyside wanaendelea na uchunguzi wa tukio lote na klabu itaendelea kumsaidia Andre na familia yake. Kwa hiyo hatuwezi kuongeza neno Zaidi kwa muda huu.
Wisdom alikuwa yupo nyumbani kwake Mersyside siku ya Juma mosi kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Reading ndugu walimpigia simu.
Ilimbidi andeshe gari mpaka maeneo ya Toxteth/Wavetree maeneo ya Liverpool baadaye usiku alikwenda kuwachukua ndugu lakini alipo shuka kwenye gari lake alivamiwa mtaani na mtu aliye kuwa na kisu alimpiga mara mbili na baadaye kumkaba.
Alipelekwa hospitali ambako anaendelea na matibabu lakini taarifa zilizopo hali yake inaendelea vizuri na anatarajia kuruhusiwa kurudi nyumbani mwisho wa wiki hii. Lakini ataukosa mchezo wa Jumatano pia kuna uwezekano akakosa mchezo wa “Derby” dhidi ya Nottingham.
Zeiyana
Duh pole sana kwa kuvamiwa wisdom
Issa
Pole yake waliofanya hilo tukio hilo wapewe adhabu kali wakibainika
Hamidu
Daa! Habari kwa wadau wa soka .#meridianbettz
Rehema
Duu pole sana
Njiku
Dah pole sana Andrew wisdom kwa kuvamiwa na waarifu Mungu atakufanyia wepesi upone kwa kuwa kesi ipo mikononi mwa polisi waarifu watapatikana na watapatiwa adhabu juu ya tukio hilo na ndugu yetu ulivyo mweusi na ubaguzi wa rangi uko ulipo noma sizani kama ishu itafanikiwa kwa umakini labda tukio afanye ngozi kama yako ila kama ngozi nyeupe Dah itakuwa inshu ila pole kaka
Gabriel
Pole sana Andre wisdom,🙏 mwenyez MUNGU amsaidie akupe nguvu na afya njema
warda
Jamani pole yake#Meridianbettz
Sabrina
Maoni:Andrew wisdom pole kwa kuvamiwa mungu akuponye
Elika
Pole yake soon atakaa sawa tuu
Shafii
Haya mambo ya wachezajj kuvamiwa mbona yanajirudia rudia huko barani ulaya inapaswa wawekewe ulinzi wa kutosha
Furahav
Pole sana.
Hope mwaikuka
Pole sana kwake
Mwanaidi
Daah pole sana Andre mungu atamfanyia wepesi atapona
Omary lukumbi
Duuh pole yake mungu ampe afya njema kwa nchin uingereza matukio km hayo n ya kawaida sana si hasara n mashabiki wa timu pinzan hao waliofanya hvyo
Povel
Get well soon 🙏🏼🙏 BLACK 👊 lives matter
Edgar
pole sana
isha
Pole sana kaka utapona tuu
lombo
sad news mungu atamponya
Ester jackson
Pole sana mungu akupe unafuu urudi katika mchezo na vyombo vya sheria vifanye kazi yake kudhibiti uhalifu
Hidaya
Pole yake jamani
Samiah
Pole mwaya
Saupha mohamed
Pole sana
Aziza mushi
Jamni pole sanaa
Asia Abdy
Duuh pole sana kwake
Fatuma kasomo
Polee sana mungu akusimamie
Tahiya
Vibaka ni shidah nyingine pole sana
Samira
Pole sana Andre
Theonestina
Pole yake
Genia Sikaluzwe
Pole yake
Magdalena
Oh pole jamani
Recover very soon
Dorophina
Pole yake Andre mungu atamsaidia atakaa sawa
Mwanahamisi
Pole sana
Caroline
Pole sana adre
Khadija
Pole sana#meridianbettz
Kenani
Dah hii sio poa ukiwa maarufu shida ndo hyo kuwindwa
felister
sad news
Sadick
Mambo ya uswahilini Tandale kwa Tumbo , Temeke Mikoroshini, Keko Mwanga, Vingunguti kumbe Ulaya yapo! Hivi krbn Dele Alli alivamiwa na wahalifu na kumupora vitu#meridianbettz
Mariam mtandama
Pole sana
Hilda
Mungu ansimamie
Jane Michael
Pole
Amani
kumbe Ulaya mambo Kama haya yapo! Hivi krbn Dele Alli alivamiwa na wahalifu waka mpora vitu#meridianbettz
Neema juma
Pole yake.na tushukuru anaendelea vzr saivi.Mungu ni mwema
Angelina
Get well soon hope u’ll be fine
Evaluziga
Du pole Sana kumbe ata ulaya kunavibaka
Amiri Kayera
Dah majambaz sio pw inabid waweke gurd zakutosh majumbn mwao pesa c wanazo
David Pere
Pole take binaadamu sio watu hawana hata huruma
Salma
Pole Sana andre
Mwajuma
Habari yakusikitisha sana
Theckla
Get well soon