Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Antoinne Griezmann amebainisha kuwa hana nia ya kuondoka Barcelona, kwa mujibu wa LeParisien.
Griezmann mwenye umri wa miaka 29 anaonekana anahitaji zaidi ya msimu mmoja akiwa na wababe hao wa ligi ya La liga.
Kumekuwa na ripoti juu ya Griezmann kutokuwa na maelewano na kocha Setien na haswa baada ya kuingizwa katika dakika ya 90 kwenye mchezo uliopita wa Barca na klabu yake ya zamani ya Atletico juzi Jumanne.
Ni mara ya tatu katika mechi nne ambazo Griezmann anatokea benchi na kila mechi hizo Barca wanapata sare, wakati wameshinda mechi tatu ambazo Griezmann anaanza.
Tangu ajiunge na Barcelona akitokea Atletico Madrid kwa € 120m, Griezmann ameweza kufunga mabao 14 katika michezo 43 msimu huu.
Bado anaonekana ni mtu mwenye kiu ya kupata mafanikio mengi akiwa katika klabu ya Barcelona.
Barca walilazimishwa sare ya 2-2 na Atletico Madrid katika uwanja wa Camp Nou hivyo kufanya jitihada za kutetea taji la La Liga kuwa ngumu wakiwa tayari wamecheza michezo 33 na kupata pointi 70 nyuma ya Real Madrid wenye alama 71 katika michezo 32.
warda
Akae tu Hapo Barcelona Wala hakuna Timu inamtaka #Meridianbettz
Magdalena
Aendelee kubaki tu aitumikie Barcelona
Ester jackson
Kijana anajiweza tangu atoke Atletico Madrid ameonekana akijituma sana katika nafasi anazopewa ingawa huwa anaingia kipindi cha pili lakini tunayaona mabadiliko katika uchezaji wake kama ataendelea na jitihada zake atakufa katika viwango vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Habaki tuu apo Barcelona apambanenapo
Angelina
Atumikie timu yake tu hana jambo
Genia Sikaluzwe
Abaki tu barcolona yuko vizuri
felister
habari njema kwa mashabiki wa barcelona
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa barca
Franky
Kaichoka timu na sio kuleta visingizio vya kuingizwa dk 90 kwenye mechi izo kazaa…kama vp aendetu ..
Winfrida
Abaki tu Barcelona kuangaika nako sio kuzuri
Samira
Abaki tu na barcelona yake bado yupo vizuri
Antony Luseno
Kila mchezaji ana ndoto za kucheza timu fulani nahisi kwake ndoto yake ilikuwa ni barca
lombo
mambo ni moto na meridianbet
Mariam mtandama
Baki tu Barcelona
Rehema
Wamuache tu aende maana popote kambi tuu
Khadija
Abaki tu barcelona#meridianbettz
isha
Abaki tuu hapo hapo barc ili aendelee kupiga kazi
Caroline
Abaki Barcelona.bado wanamuhitaji
Frank Patrick
Barca imekuwa kama team ya kuua wachezaji wazuri hv siku hizi
Mwajuma
Habari njema kwa wapenzi wa Barcelona
Mwanahamisi
Abaki tuu barcelo
Revina
Kijana bado anaitajika sana kwenye timu yake abaki tu ,Meridian sio wakuacha kabisa ,taarifa zote wanakujulisha unasubiri nini sasa
Hope mwaikuka
Ni sehemu salama atulie tu
Devotha
Afanye mpango tu aondoke huenda akapata umaarufu mkubwa akiondoka kuliko kuendelea barca
Njiku
Grizman anaonekana kuwa na mapenzi na timu hiyo ya barca pia nimchezi mzuri sana na hakutakiwa kuingizwa dakika ya 90 hili pia linaonekana kuwa wanatatizo klna kocha wake satien,pia kocha huyo wa barca anafanya game inakuwa ngumu na kuwa nyuma dhidi ya wapinzani wao real madrid kwa arama moja na wakiwa na mchezo mmoja mkononi
Povel
Habar njema
Flomena
Bado anaonekana ni mtu mwenye kiu ya kupata mafanikio mengi akiwa katika klabu ya Barcelona.
Gabriel
Griezman n mchezaji mzur sana hivyo aangalie maslai na dau la club ambayo inamhitaji akubali kuondoka
Furahav
Baki tu hapo uchukue vikombe.
Saupha mohamed
Habari njema
Sabrina
Maoni:Asante kwa taarifa
Shafii
Gud newz
Amiri Kayera
Bado ajaitendea haki Ada yake ya usajir so anamda wakuifanyia kit barca
Mwanaidi
Barcelona ndio timu inayomfaa atulie hapo hapo
Omary lukumbi
A.grieziman pale hatoweza furukuta nchini ya kivuli cha lionel messi maana alikua neymar pale lakin alishindwa kutamba labda astaafu lionel messi ndio yeye anaweza kupata mafanikio anayo ya hitaj
Evaluziga
Aendelee kubaki aendelee kubaki Barcelona
David Pere
Amesha yumba Yani ashapotea Ndio maana hataki kuondoka pale wenzake watamcheka
Salma
Abaki tyu
mwakalosi
abaki tu hapo hapo kijiwe cha wazee sasa hivi hiko
Asia Abdy
Hana shuhuli
Hamidu
Habari vizuri kwa mashabiki wa Barca
Theckla
Asalie tu
Samiah
Abakitu hapohapo