Rais wa klabu ya Lyon Jean-Michel Aulas amesema kwamba vilabu vikubwa vitatu vimevutiwa kumsaini kiungo Houssem Aouar.
Arsenal imeonesha kumuhitaji nyota huyo wa Lyon, ingawa klabu hiyo ya Premier League bado haijakubali ada ya uhamisho ambayo Lyon wanaitaka kitita cha £55m (€60m).
Telefoot iliripoti siku ya Ijumaa kwamba Aouar amefanya mazungumzo binafsi na kukubaliana na Arsenal ambao wana ripotiwa kuwa tayari kulipa kiasi cha £36m (€40m) kwa kiungo huyo mwenye miaka 22.
Lakini pia Aouar amekuwa akihusishwa na Manchester City, Chelsea na Paris Saint-Germain baada ya kuwa na kumbukumbu nzuri akiwa Lyon msimu uliyopita 2019-20 ambapo walifanikiwa kufika nusu fainali ya Champions League.
“tunajua vilabu vikubwa vitatu,viwili kwa kipindi kifupi na kimoja kwa kipindi cha kati – vimeonesha nia ya kusaini Houssem,” Aoulas aliwaambia maripota siku ya Jumatano alipoulizwa kuhusu Aouar baada ya ujio wa Lucas Paqueta akitokea Milan.
“vyote ni vilabu vikubwa, vyote vilikuwa vinashiriki Champions League na vilikuwa na katika viwango vizuri. Mazungumzo ni magumu kuhusu swala la dau vilabu vimekuwa vikikataa kiasi tunachotaka.
Lyon imekuwa ikipambana kuwa katika fomu tangu msimu 2020-21 uanze imefanikiwa kushinda mchezo mmoja pekee katika michezo mitano ya Ligue 1.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
magdalena
timu kubwa lazima zomlilie kwa ufundi wake alokuwa nao awapo uwanjani
Adelta
Ukiona hivyo Ni kijana makini sana
Angelina
Yuko vizuri lazima wavutiwe nae, kizuri kinajiuza
Dorophina
Aouar akienda arsenal itakuwa poa sana
Mwajumah
Lazima wavutiwe nae kwani kijana anajua sana na yupo makini uwanjani
Mwanahamisi
Yuko vizuri sana
Fatina mfigi
Kijan anaoneka yuko vizur sana
Rehema
Good news
Caroline
Aouar yupo vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Kijana yupo vizuri nyota ime muwakia
Venerose
Aouar anajua anachokifanya katika game
Ester jackson
Habari njema inaonekana yupo vizuri
Elika
Vizur sana
Khadija
Habari njema anaonekana yupo vzr
Ernest
Arsenal wanachungulia sana mkwanja
Neema
Inaonyesha yuko fitii kijana huyo
Salma ngende
Yupo vizuri
aisha
Arsenal wagumu kwenye hela kama nini
Khadija
Anaonekana yupo makin sana
Nasra
Yupo fit
Sabrina
Auoar yuko vizuri
Mariam mtandama
Vizur
Janeflora malisa
Good
Saupha mohamed
Jamaa yupo vizuri
Hidaya
Kama vipi aende Chelsea
felister
tatizo la arsenal wanachungulia mfuko
Rose kapinga
Pesa ndio Kila kitu hapo!!!
lombo
habar njema
David Pere
Lazima wavutiwe nae kwani kijana anajua sana na yupo makini uwanjani
jullie
aangalie sehemu ambayo ataenda kuendeleza kipaji chacke na maslah pia
Sauda
Aouar ni jembe
Zeiyana
Uchumi umepolomoka sana toka janga la korona liingie clabu yingi zimekua zikitamani sin yake ila ndio hivyo tena ali ya uchumi imekua gumzo kidogo
Hopemwaikuka
Kipaj kinaongea
Povel
Chelsea au city Wana nafasi kubwa sana ya kumsajil Aourar kwny kugombania sain ya nyota huyo
Issa
Aulas amekua mchezaji mwenye kufaham
Kaz yake
Gabriel
kijana anajua sana na yupo makini uwanjan
Samiah
Gud