Breaking News: Low Kuendelea Kuwa Kocha wa Germany.

Joachim Low ataendelea kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ujerumani baada ya kuwa katika sintofahamu kufuatia kufungwa 6-0 na timu ya taifa ya Spain.
Breaking News: Low Kuendelea Kuwa Kocha wa Germany.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ujerumani,Joachim Low.

Wasiwasi juu kocha huyo ambaye aliwahi kutwaa taji la World Cup uliendelea kuwa mkubwa baada ya kufanya vibaya katika michuano ya Nations League mapema mwezi huu na German Football Association (DFB) imesema kunatakiwa kuwe na ratiba ya kufuatilia hali hiyo.

Siku ya Jumatatu bodi ya uongozi imesisitiza tena kumsapoti kocha huyo mwenye umri wa miaka 60 na kuzima uvumi wowote uliyokuwa unaendelea kuwa umiliki wake wa muda mrefu unaelekea mwisho.

Kipigo cha 6-0 kilikuwa kipigo kikubwa kwa timu ya Ujerumani tangu wapoteze kwa Austria idadi kama hiyo ya magoli mchezo wa kirafiki mwaka 1931, lakini pia golikipa Manuer Neuer ameweka rekodi mpya kwa magolikiapa wa Ujerumani kwa kushinda mechi 96 na kuruhusu magoli sita katika mechi za ushindani kwa mara ya kwanza katika soka lake.

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp wiki ilyopita aliulizwa kama kuna uwezekano wa kumabadili Low. “Kwa baadaye? labda ,” alijibu. Kwa sasa? Hapana.”


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

14 Komentara

    Bora walivyomuacha kwa kumuangalia tena mara ya mwisho

    Jibu

    Jamani mwanzo alishawahi fanya vizuri wangemuacha tu

    Jibu

    Wamuache tu

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Low kocha mwenye mafanikio mengi ndan ya ujeruman

    Jibu

    Wamuache andelee

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Vizur sanaa

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Wamuache tuu afanye maajabu

    Jibu

    wamuache tu

    Jibu

    Itapendeza sana akiendelea kazi yake

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Good

    Jibu

Acha ujumbe