Atletico Madrid wamefikia makubaliano ya pamoja na Diego Costa kusitisha mkataba na mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uhispania.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Chelsea Diego Costa aliwataka Atletico Madrid kumaliza mkataba mapema kutokana na sababu binafsi.
Mkataba wa mshambuliaji huyo wa zamani wa Chelsea na miamba hiyo ya La Liga ulipangwa kumalizika mwezi Juni 2021 lakini ameiomba kilabu hiyo kumaliza kukaa kwake mapema kabla kwa sababu binafsi.
Taarifa ya Atletico ilisomeka hivi siku ya Jumanne:
“Atlético de Madrid na Diego Costa wamefikia makubaliano ya kukatisha kandarasi ya mshambuliaji huyo, ambayo ingekamilika mwezi Juni 30, 2021.
“Mshambuliaji huyo aliomba kuondoka klabuni hapo kwa sababu za kibinafsi siku chache zilizopita na Jumanne alisaini kusitishwa kwa mkataba wake.
“Klabu inamshukuru Diego Costa kwa kujitolea kwake katika miaka hii na inamtakia heri katika hatua inayofuata ya taaluma yake.”
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
Saupha mohamed
Maamuzi yake si mabaya
Dorophina
Diego ni mchezaji mzuri sana anaweza akapata klabu nzuri zaid
Lydia Emmanuel Magoti
Sio mbaya nimamuzi yake yeye
Fatina mfingi
Maamuzi Ni yake afanye anachojisikia!!
Mwanahamisi
Maamuzi ni yake
Asia Abdy
Sawa tu
Issa
Kosta anataka kutundka daluga
warda
Kwa nini jamani
Tatu
Maamuzi ni yake
Sarah
Maamuzi niyake
Rahmal
Kwa nn anafanya ivyo
Hopemwaikuka
Kila la her uendako
Caroline
Sijapenda
Angelina
Nice update
Shakila mrope
Asant kwa taarifa meridian bett
Zahara omary
Nice one
Sania
Kila la kheri huko aendako