FIFA inawasaidia wachezaji wa soka wenye uraia wa nchi zaidi ya moja kubadili kuwakilisha timu ya taifa hata kama walishaichezea nchi nyingine lakini Kuna sheria za kufuatwa – Haya ni mabadiliko ya kanuni yaliyotangazwa Jumatano.
Haya matumaini kwa wachezaji wanaostahili kuzitumikia nchi zaidi ya moja lakini waliangukia katika timu ya taifa ya kwanza ya taifa lingine, ambapo imekuwa ngumu kwa wao kuhama baada ya kucheza hata walau dakika moja tu kwenye mchezo wa ushindani.
Sheria hii mpya itawaruhusu wachezaji wabadilishe timu za Taifa kama tu wameitumikia nchi nyingine mara tatu tu katika timu ya kwanza – pamoja na michezo ya kufuzu kwa mashindano, lakini pia ni kabla ya kutimiza umri wa miaka 21, na angalau miaka mitatu kabla.
Sheria hii mpya inatarajiwa kuputishwa mwezi ujao ikiwa mashirikisho yote 211 wanachama wa FIFA yatakubali kwenye mkutano mkuu aa FIFA huko Zurich – Imechukua zaidi ya miaka miwili kuunda sheria hii mpya huko FIFA kabla ya kwenda kuwekwa mezani na kupitishwa.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.
magdalena
sheria nzuri sana hii walioanzisha FIFA haimbani sana mtu
Dorophina
Wamefanya vizuri FIFA itawafanya wachezaji wasikae mda mrefu taifa moja
Caroline
Safi Sana hii Sheria itawalinda wachezaji
Mwanahamisi
Safi sana huu ni uamuzi mzuri utawalinda wachezaji
Sauda
Sheria hii inabidi ifuatwe kwa kweli
Zeiyana
Hitakua vizuri kwa mapendekezo yake mchezaji mwenyew na hitakua mbaya kwa clabu ambazo zitakua na mapenzi na mchezaji so tumeona clabu yingi na kwa wachezaji wengi
Fatina mfingi
Nice
Amiri Kayera
Good
aisha
Hongera kwa FIFA kwa kuleta shelia mpya
felister
Sheria lazima ifuatwe
Mwajumah
Safi sana huu uwamuzi mzuri utawalinda wachezaji#Meridianbettz
Sadick
Kwangu hii sio sawa. Kama mchezaji aliwahi kuchezea nchi fulani hakuna sababu ya kutaka tena kuchezea nchi nyingine hasa ile ya asili#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana kwawamuzi wa FiFA niungozi mzuri utaowafanya Wachezaji kukaa kwenye levo nzuri
Rehema
Asante meridianbet kwa taarifa
Ernest
Jambo zuri kwenye Soka japo ukiangalia vizuri inaweza leta mamluki kwenye timu lakini kwa upande wa wachezaji inawapa fursa ya kufanya maamuzi
Neema
Sheria ikiwemo mambo yataenda kwa mpangilio mzuri
JULIANA
Ninzuri ikifuatwa
Saupha mohamed
Safi
Gabriel
Sheria imekaa poa sana 👍
Janeflora malisa
Nice
Hope mwaikuka
Sheria zpo tu sio lazima kuzfata
Povel
Congrat FIFA 👊👊👊👊
Devotha
Sheria nzuri
Shafii
Ngoja tusubili maamuzi baada ya kuwekwa mezani.
Rose kapinga
Sheria hii italeta mizozo mbele ya safar!!!!
David Pere
Jambo zuri kwenye Soka japo ukiangalia vizuri inaweza leta mamluki kwenye timu lakini kwa upande wa wachezaji inawapa fursa ya kufanya maamuzi
Ester jackson
Sheria kabambe
Furahav
Nmeikubali sheria hii.
Sabrina
Sheria msumeno hiii
warda
Haya tumezipata ziko poa