Olivier Giroud anakaribia kuifikia rekodi ya Thierry Henry ya kupachika mabao mengi katika timu ya taifa ya baada ya kumpita Platini hiyo ni baada ya mchezo wa jana mchezo ambao Ufaransa ilishinda 7-1 dhidi ya Ukraine katika dimba la Stade de France.
Giroud alifunga magoli mawili na kufikisha magoli 42 na ulikuwa ni mchezo wake wa 100 katika timu ya Ufaransa.
Giroud amepita mchezaji wa zamani wa timu ya France, Michel Platini na kwa sasa anakuwa nyuma ya mchezaji wa zamani wa Arsenal na Barcelona nyota Thierry Henry ambaye amefunga magoli 51 katika michezo 123.
Giroud amekuwa akitumiwa vyema na kocha Didier Deschamps na amekabidhiwa jukumu la kushambulia akiwa pamoja na washambuliaji hatari Antoine Griezmann na Kylian Mbappe.
Ni ukweli mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alicheza michezo yote saba ya Ufaransa wakati wa kombe la dunia 2018 ukijumuishwa na ule waliyoshinda 4-2 dhidi ya Croatia lakini hakufanikiwa kufunga goli hata moja.
Ingawa hajalenga sana kufikia rekodi ya Thierry Henry, amesema anajiandaa kuweka rekodi mpya katika timu ya taifa.
“Kama kawaida najivunia,” Giroud , ambaye pia alikuwa ni nahodha wa Ufaranasa kwenye mchezo dhidi ya Ukraine, aliiambia TF1. “Ni heshima kubwa kufikisha mchezo wa 100 katika timu ya taifa na ninashukuru imetokea kama hivi.
“Sasa naendelea kuangalia mbele bila kuweka mipaka nataka kuendelea kama hivi.
“Nadhani unatakiwa ujipange kwaajili ya kufunga lakini kwa sasa ni mapema kuma hivyo acha tuangalie kama nitaweza kuvunja rekodi tutaona kama nikifikisha magoli 46 au 47.
Ufaransa watawakabili Ureno siku ya Jumapili katika muendelezo wa michuano ya Nations League.
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!
Theckla
Pongezi kwake
Adelta
Ni jambo jema kwa wanamchezo wa Ufaransa
Angelina
Safi Giroud
magdalena
giround yupo vizuri sana
Fatina mfigi
Pongezi kwake
Rehema
Pongezi kwao
Devotha
Giroud ni mchezaji mzuri sana
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana Giroud
Dorophina
Giroud yupo vizuri sana
Sauda
Hongera yake
Caroline
Giroud yupo vizuri
Tatu
Pongezi kwake
Mwanahamisi
Pongezi kwake
aisha
Anasitahili pongezi sana
Elika
Safi na pongezi nyingi kwake
Mwajumah
Pongezi kwake
Nasra
Pongez sana kwako
Amiri Kayera
Geroud atafk maan Amanda wakucheza
Venerose
Hongera sana
Neema
Pongezi kwake
Saupha mohamed
Giround yupo vizuri
lombo
vzr
Fatuma kasomo
Safi sana
Sabrina
Hongera yake
Gabriel
Giround yupo vizuri
felister
pongezi kwake
Rose kapinga
Kazi nzuriii
Samiah
Pongezi kwake
Janeflora malisa
Vzr
Shani
Habari njema
Ernest
Kocha wa Ufaransa anamtendea haki sana Giroud
Issa
Olivier giroud ni safi sana
Povel
Congratulations GIROUD
David Pere
ukweli mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alicheza michezo yote saba ya Ufaransa wakati wa kombe la dunia 2018 ukijumuishwa na ule waliyoshinda 4-2 dhidi ya Croatia lakini hakufanikiwa kufunga goli hata moja.