Gomez Atundika Daluga

Straika wa zamani wa Ujerumani Mario Gomez amestaafu akiwa na umri wa miaka 34 baada ya kuisaidia klabu yake Stuttgart kupanda Bundesliga.

Aliisaidia timu yake kupata goli moja pekee japo walipoteza dhidi Darmstadt 98 lakini walifanikiwa kupita wakiwa nafasi ya pili.

Bingwa mara tano wa Bundesliga walimaliza nyuma ya Arminia Bielefeld wamerejea Ligi Kuu baada ya msimu mmoja kutokuwepo.

“Ni misheni yangu ya mwisho nikiwa hapa VfB,” alisema Gomez. “Nilikuwa naota kumaliza maisha yangu ya soka hapa.”

Gomez, ambaye ameshinda mechi 78 za Ujerumani kabla ya kustaafu timu ya taifa miaka miwili iliyopita, alianza maisha yake ya soka akiwa Stuttgart, Kutwaa Bundesliga mnano 2006-07, kabla hajaamia Bayern Munich, ambako alitwa Bundesliga mara mbili zaidi na  Champions League mara moja.

Aliwahi kuhudumu akiwa na Fiorentina, Wolfsburg na Besiktas kabla ya kurejea Stuttgart mwaka 2017-18.

50 Komentara

    Asante kwa makala meridianbet.

    Jibu

    Pongezi kwa kustaafu na kuwasogeza wachezaji wezako katika bundesliga

    Jibu

    Ni jambo jema akafanye mambo ya kijamii

    Jibu

    Anastahili pongez sana ni mchezaj hatar sana akija mara 3 kwenye 18 lazima atingishe nyavu za goli bora akapumzike sasa

    Jibu

    Axante kwa habar

    Jibu

    Poa Gomez staafu bhana ulifanya mengi sana licha ya kuipandisha timu yako

    Jibu

    Amestaafuu kishujaa pongezi kwake

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Nice

    Jibu

    pongezi kwake

    Jibu

    Anastahili kupongezwa kwa alichokifanya

    Jibu

    gud news

    Jibu

    Ni jambo la heshima unapotangaza kustaafu baada ya kusaidia timu yako kupata mafanikio inayoyahitaji sana#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa update za michezo#meridianbettz

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Hongera sana kwa moyo wakujituma #meridianbett

    Jibu

    Bye bye super Gomez tutakumbuk daima🤸🤸🤸🤸

    Jibu

    Ametumikia vzur sana nafasi yake ya streka kwny mpira wa miguu by by by
    # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Nenda kaangalie maisha mengine.

    Jibu

    Ni nzuri kwa kuifanyia mazuri Stuttgart na kustafu kwa heshima kubwa

    Jibu

    Anastahili pongezi ni mchezaji hodari sana

    Jibu

    Ni vzurii

    Jibu

    pongezi kwakwe kwa kipindi na miaka yote ambayo ametumia kucheza mpira..

    Jibu

    Maoni:Hongera sana Mario Gomez kwa kustaafu ukiwa umeipandisha timu yako.

    Jibu

    Huyu jamaa enzi zake utasikia tuu Mario Gomez mtaalamu sana wa kucheka na nyavu

    Jibu

    Gomez umri bdo lakini Yaani bado unahitajik

    Jibu

    Tutakkumbuka daina Gomez

    Jibu

    Amefanya jambo la busara kustaafu kwa heshima kwa kuwasaidia wenzako kupanda daraja

    Jibu

    Ahsante meridianbet kwa makala bomba

    Jibu

    Maoni:pongezi kwake kwakuitumikia tim vyema

    Jibu

    Mbona kastaafu akiwa na muda mrefu

    Jibu

    Ahsant meridian kwa habari

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Habari nzuri ameisaidia timu vzr kuipandisha daraja

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    jambo la heshima unapotangaza kustaafu baada ya kusaidia timu yako kupata mafanikio inayoyahitaji sana#meridianbettz

    Jibu

    Naona Bado mda wake wa kustaafu #Meridianbettz

    Jibu

    Pongezi Sana Mario Gomez umestaafu vzr hakika utaweka historia kwny timu

    Jibu

    Ameaga Kwa heshima San

    Jibu

    Pongezi sana amefanya mengi mazuri

    Jibu

    Ametimiza majukumu yake anastahili kupumzika

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Mi jambo jema sana hilo

    Jibu

    Wahenga wanasema hakuna mwanzo usio kua na mwisho miaka 34 anastahili kustafu awaachie vijana sasa

    Jibu

    Hongera sana kwake kwa kustahafu

    Jibu

    Amefanya vyema sana

    Jibu

    Sio mtu mzur hyu ni hatar

    Jibu

    Alikua yupo vizuri

    Jibu

    Umri umenda ni Bora alivyo tundika dalugaa

    Jibu

    Makala nzur

    Jibu

Acha ujumbe