Mshambuliaji wa Barcelona Antoine Griezmann amepata majeraha kwenye misuli ya paja, Klabu hiyo ya LaLiga imethibitisha.
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa alitolewa na nafasi yake ilichukuliwa na Luis Suarez kwenye mchezo dhidi ya Real Valladolid ambapo Barcelona walishinda 1-0 ugenini siku ya Jumamosi.
Baada ya vipimo siku yaJumapili vinaonesha Griezmann alipata mvunjiko karibia na goti katika mguu wake wa kulia na itapelekea kukaa nje ya dimba kwa muda.
Mshindi huyo wa kombe la Dunia mwaka 2018, alihamia katika timu ya Barcelona akitokea Atletico Madrid kwa kitita cha €120m mwaka uliyopita. Griezmann ni kama ataukosa mchezo dhidi ys Osasuna siku ya Alhamisi utakao pigwa katika dimba la Camp Nou.
Griezmann amefunga goli tisa katika michezo 35 ya ligi akiwa na Barcelona katika msimu wake mgumu wa kwanza.
Hakujumuishwa katika kikosi cha kwanza kwenye michezo miwili ambayo Barcelona walipata matokeo ya sare ya 2-2 dhidi ya Celta Vigo na Atletico Madrid mwezi uliyopita, lakini alihusika kwenye ushindi wa 4-1 dhidi ya Villarreal baada ya kuwekwa kwenye kikosi cha kwanza siku ya Julai 5.
Pata Ofa kibao na meridianbet jiunge sasa!
Issa
Ni mchezaji mzuri sema toka ajiunge na Barcelona ajaendana na fomesheni yake
Sadick
Antonio Griezmann hana bahati na Barcelona.Kiwango chake sio cha kuridhisha sana#meridianbettz
Ester jackson
Pole sana kijana huu ndio ulikuwa mda wa kuonyesha uwezo wako sasa umepata jeraha inabidi upumzike
felister
Get well soon griezmann
Tatu
Pole sana kijana utapa nafuu
Adelta
Pole yake
Popote ulipo
Samiah
Utapata nafuu utapona
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yako Griezmann
Janeflora malisa
Pole yake
Antony Luseno
Pole sana kwake japo barca ina wachezaji wengi ambao wataziba pengo lake
isha
Pole sana grizmann kwa kupata ajali kwenye misuli ya paja utapona na mambo mengine yataendelea
Hope mwaikuka
Ugua pole champ
mwajuma
Pole yake#Meridianbettz
Isaya massawe
Hill ni tatizo kwa Barcelona
Rehema
Pole yake
Dorophina
Pole griezmann ila Barca Ina watu wengi wenye uwezo wa kukava iyo nafasi
Edgar
Pole griezman
farida ahmadi
Duh pole Sana Antonio grezman litakuwa pengo kubwa Sana kwa Barcelona
Franky
So sad story kwa washabiki wa Bac
caroline
pole sana
Khadija
Pole yake#meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Pole Sana ucijali utapata nafuu
Ernest
Kuumia kwa Griezmann ni balaa sana kwa Barca
Amiri Kayera
Kipnd ichi team inamuitaji san
Magdalena
Pole Sana kuumia kwake ni pigo Barcelona
devotha
daah! pole sana ni habari mbaya kwa Barcelona kuelekea kutwaa ubingwa wa laliga msimu huu
Revina
Ni habari mbaya sana kwa timu sema ni mchezaji ambaye ana bahati mbaya sana kwa timu
Furahav
Ndo mpira hulivyo utapona tu.
Njiku
Matokeo ya mpira hayo yeye kapata jeraha sawa kuna wengne wanakufa uwanjani ila kwa kuumia kwake itafanya barca kisuasua kukimbizana na real madrid kwenye mbio za ubingwa wa laliga
Nasra
Mpira hauna mjuaji
Neema juma
Habari ya kusikitisha. Pole kwa majeraha Griezmann
Shafii
Ni pengo kwa Barcelona.
Leonard
Habari mbaya kwa club ya backa
Saupha mohamed
Pole yakee
theckla
Pengo kubwa kwa Barcelona
Latifa juma mohamed
Pole San pengo kubwa kwa baca ucjl utapata nafuu
Samira
Pole sana Griezmann
Tahiya
Daah! Ni balaa ilo kwa Barcelona hasa kipindi iki cha kuelekea kwenye ubingwa
David Pere
Yani baada ya kujiunga na Barcelona Kama amekuwa na fundi kiwango kimeshuka na angepoteza ubora wake kabisaa
Salma
Pole sana kijana
mwakalosi
huyu kaenda na mkosi aisee hapati n number akipata ndo hivi aisee
Evaluziga
Jamani pole yake Griezmann
Theonestina
Pole Sana, mungu atakufanyia wepesi utapona
Fatuma kasomo
Inshallah atapona
warda
Huyu siku hizi anaumia sana#Meridianbettz
Angelina
Pole sana
Zeiyana
Habari mbaya kwa clabu zima ya Barcelona na mashabiki wake kwa hujumla
Omary lukumbi
Grizman kuumia kwake kunaleta presha kubwa kwa shabiki wa Barcelona
Gabriel
Habar ya kusikitisha sana
sabrina
Asante kwa taarifa
tumaini
Maoni:pole sana