Nyota wa Manchester City, Eric Garcia tayari alishaweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo. Lakini meneja Pep Guardiola anaamini kuwa yeye na klabu wanaweza kumshawishi nyota huyu kusalia klabuni hapo.
Nyota huyu ambaye ana umri wa miaka 19, mwezi Agosti aliwaambia klabu ya Manchester City kuwa hatarajii kuongeza mkataba, na mkataba wake wa sasa unaisha Juni 2021, amebakiza miezi kadhaa tu kwenye mkataba wake.
Nyota huyu anatarajiwa kuwa atarejea Barcelona, klabu ambayo alikulia kwenye akademi yake kabla ya kuungana na Manchester City mwaka 2017.
Lakini wakati Guardiola akielezea sababu za kumuanzisha kwenye kikosi cha kwanza kinda huyu, aliweka wazi matarajio yake kuwa klabu inaweza kumshawishi staa huyu kuongeza mkataba na kusalia klabuni hapo.
“Nina furaha sana. Nafahamu alikuwa anataka kuondoka lakini atasalia na pengine tutamshawishi kuongeza mkataba mwaka huu ili asalie na sisi. Ni mtu ambaye hatetereki kwenye mambo mengi, tunafurahi sana” -Pep Guardiola
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
Adelta
Guardiola anaweza kumshawishi endapo mawazo yake mwenyewe na sio kumfosi
Janeflora malisa
Uwamuz ni wake
Salma ngende
Vizuri
Mwajumah
Uwamuzi anao yy mwenyew kuondoka ama kusalia kwenye clabu iyo
magdalena
garcia maamuzi anayo yeye kubaki au kusepa
Sauda
Garcia akiamua lake anafanya bila kushawishiwa na mtu yoyote
Fatina mfigi
Fanya maamuzi ambayo ww utaona Ni mazuri
Lydia Emmanuel Magoti
Hinawezekana kwanini ashindwe mipango tuu ikikaa sawa anaweza asichomoke hapo City ila jembe akikaza apo Guardiola anajipya Kwa Garcia
Neema
Maamuzi ni yake
Mariam mtandama
Vizur
Dorophina
Uwezo wa kumshawishi anao kama anania kweli ya kutaka kuendelea kubaki nae klabuni watafute njia mbadala
Mwanahamisi
Maamuzi ni yake
Angelina
Kila mtu nA maamuz yake
Caroline
Hawezi
Hidaya
Uwamuzi ni wake
Samira
Kama Guadiola atakua kweli ya garcia kusalia man city basi atabaki
Khadija
Uwamuzi ni wake
Saupha mohamed
Maamuzi ni yake
Elika
Safi sana
lombo
habar njema
aisha
Sidhani kama ataweza
Sabrina
Anaweza kumshawishi ila km hataki amwache aende tu
felister
maamuzi yake
Zeiyana
Man city hawezi kumuacha Garcia haondoke bado hana humuimu mkubwa sana kwenye clabu
Hopemwaikuka
Itakavyokua ndo hvyo hvyo
Gabriel
Safi sana
Issa
Pep anajua garcia anhtaj nn
Povel
Nice update
Warda
Anaweza sana huyu jamaa kwa ushawishi