Erling Haaland ameendelea na kasi yake ya kutikisa nyavu hii ni baada ya kuweka 3 kambani kwenye ushindi wa 4-0 wa Norway dhidi ya Romania lakini alimsifu mchezaji mwenzake Martin Odegaard na alisema kuna mengi yanakuja kutoka kwao.
Timu ya Lars Lagerback haijafanya makosa tena baada ya kupoteza kwa Serbia katika michezo ya mtoano ya Euro 2020 siku ya Alhamisi sasa walirudi dimbani na kuigaragaza Romania na nyota wa Dortmund Halaand akiibuka nyota wa mchezo huo.
Straika huyo wa Borussia Dortmund alifunga magoli 17 katika michezo 18 ya Bundesliga na kwa sasa amefunga goli sita katika michezo saba ya timu ya taifa.
Magoli mawili ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 yaliasistiwa na Odegaard siku ya Jumapili katika michuano ya Nations League na Haaland amepa pongezi mchezaji huyo ambaye amemzidi mwaka mmoja.
“Najisikia vizuri sana kucheza na Odegaard, na itaendelea kuwa bora zaidi kwa miaka ijayo, sisi bado ni vijana wadogo.”Odegaard naye hakusita kuongea jinsi anavyo jisikia akicheza na Haaland ambaye amekuwa akimpatia namna ya uchezaji wake na jinsi ya kumpelekea mipira.
“Tunajua nini cha kufanya linapokuja swala la kupata mipira nyuma na Haaland akiwa mbele,” alisema Odegaard.
“Anaanza akiwa ameimarika kila wakati na huwa asababishi offside,ana mbio anatokea kati tuna mtangulizia mipira mbele.
Kocha Lagerback naye pia aliungana haraka na kumsifu Haaland: “Bado ni kijana sana.
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.Β
Elika
Safi
Zeiyana
Dortmund wamefanya makosa sana kumuhuza halaand
magdalena
haaland yupo makini sana na anaiinua sana timu sasa waliokuwa wanamuona wa nini mpaka wakamuuza ndo wanamkumbuka sasa
Angelina
Yuko vizuri namkubali sana
Venerose
Safi sana
Neema
Yuko vzr sana kijana
Tatu
Kwa hali ninayoiyona kwa haaland ni mchezaji anayekuja kwa kasi
Sauda
Kijana makini sana
aisha
Big up kwao
Dorophina
Haaland yupo vizuri sana
Nasra
Kijana yuko vzuri
Shani
Haaland United ilikosea wapi dah bonge la streika
Genia Sikaluzwe
Haaland jeshiiii
Mwanahamisi
Safi
Issa
Haaland goal creater
Ernest
Haarland atakuja kutusahaulisha mapema sana habari za Messi na CR7
Amiri Kayera
Namuon mchezaj ataewek record kubwa
Caroline
Safi Sana Haaland
Mwajumah
Dortimund wamefanya makosa sana kumuuza hazard
Janeflora malisa
Vzr
Saupha mohamed
Good
Gabriel
Dortmund wamefanya makosa sana kumuhuza
Sabrina
Haaland mtu mbaya kaondoka na mpira wake
Povel
Congrats haalandπͺπͺπͺπͺπͺ
Hopemwaikuka
Eeh