Zlatan Ibrahimovic yupo sawa baada ya kupima mara mbili na vipimo kuonesha hana maambukizi tena ya virusi vya Corona klabu yake ya AC Milan imethibitisha.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 39 alikutwa na maambukizi ya COVID-19 mwezi uliyopita na alilazimika kuikosa michezo minne kutokana na kujitenga ili kuepuka maambukizi zaidi.
Milan, ambao watawakabili Inter kwenye debi itakayo pigwa Oktoba 17 baada ya mapumziko kwaajili ya michezo ya kimataifa, imethibitisha Ibrahimovic kwa sasa yupo tayari kwaajili ya kucheza baada ya kumaliza muda wake wa kujitizamia.
“AC Milan inatangaza kwamba Zlatan Ibrahimovic amepimwa na kukutwa hana maambukizi baada ya kufanya zoezi la kupima mara mbili mfululizo,” Maelezo ya klabu yalisema.
“Mamlaka za Afya katika jiji la Milan zimekatisha siku zake za kukaa karantini.”
Mswideni huyo alisema lilikuwa ni jambo baya kwa virusi hivyo kumuandama yeye tu na baada ya kuwa sawa ametoa shukrani zake kupitia mitandao ya kijamii siku ya Ijuma.
“Umepona!” Zlatan aliandika kwenye mtandao wa Twitter.
“Mamlaka za afya zimenitaarifu kwamba muda wa kukaa karantini umeisha.
“Unaweza kwenda nje sasa.
Ibrahimovic ameongeza mkataba wa mwaka mmoja na Milan baada ya kurejea katika klabu hiyo mwezi Januari.
Amefunga magoli matatu katika michezo miwili kwenye Serie A msimu huu kabla hajagundulika kuwa na maambukizi.
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!
magdalena
afadhali maana tulikuwa tunahofia afya ya kiungo mahili
Ernest
Hii ni habari njema kwa Ac Milan
Caroline
Pole Sana Ibrahimovic.
Adelta
Hii Ni habari njema kwa mashabiki 👏👏
Zeiyana
Habari njema kwa mashabiki wa ac Milan na uwongozi kwa jumla
Venerose
Safi sana
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana Movic kwakurejea kwenye krabu yake kujiunga
Tatu
Mungu ni mwema atimae analejea kikosini
Janeflora malisa
Mungu ni mwem kila wakt
Sadick
Ibrahimovic anatakiwa kufikiria kuanza jukumu la kuwa kocha au Ukrugenzi wa michezo, umri umesogea mno#meridianbettz
Rehema
Duuuh ni hatari
Mariam mtandama
Duuuh
aisha
Safi sana pia sisi mashabiki tumepokea vizuri taarifa hizi
felister
habari njema hii
Fatuma kasomo
Safi
Nasra
Nice
Amiri Kayera
Afazar anogeshe mechi
Shani
Covid 19 imekua balaa
Hidaya
Habari njema kwa mashabiki wake
Issa
Cadabra inter watapata shida kweny derby hii
Povel
MIlAN derby MAMBO ni MOTO
latifa juma mohamed
Afadhali ,habari njema.
Saupha mohamed
Afadhali daah
Sauda
Bora
Gabriel
Ni habari njema kwa mashabiki
Fatina mfigi
Mungu Ni mwema kwako hatime unarud tena kikosin
Mwajumah
Hii ni habari njema kwa ac millan
Angelina
Goodnews
Rose kapinga
Mungu yu mwema
Dorophina
Kila lakheri kwake