Wakala wa Paulo Dybala, Jorge Antun anadaiwa kuwa anatarajia kurejea Argentina baada ya mazungumzo ya mkataba wa mteja wake kusimama.
Mkataba wa sasa wa Paulo Dybala unadumu hadi Juni 2022, lakini nyota huyu amekuwa akisistiza nia yake ya kutaka kusaini kuongeza mkataba wake kuendelea kusalia Juventus.
Wakala wa mchezaji huyu, Jorge Antun analiwasili Italia mwezi uliopita, lakini alishindwa kuonana na raisi Fabio Paratici, kutokana na kutokuwepo na mazingira rafiki kwa mkutano wao kufuatia kutpatikana kwa visa vya Corona klabuni hapo.
Kwa mujibu wa chapisho la Tuttorsport, wakala wa staa huyu sasa anatarajia kurejea Argentina bila kuonana na raisi.
Dybala anatarajia kuongezeka dau kwenye mshahara wake wake wa sasa wa euro milioni saba, ambao anatarajia huenda ikawa karibu mara mbili yake kwenye mkataba mpya.
Hata hivyo klabu inaripotiwa kuwa na kigugumizi kufikia dau ambalo analitaka Dybala kwenye mkataba mpya, kwa kile kinachotajwa kuwa ni changamoto ya kiuchumi iliyosababishwa na Corona.
Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.
Adelta
Ngoja tusubiri mazungumzo yao tuone majibu yatakuwaje
Angelina
Tungoje muafaka utavyokuwa
Dorophina
Juve lazima watataka kumuongezea mkataba tu paulo
Lydia Emmanuel Magoti
Ngoja tuone kitakacho jili
Carolyn
Dyabala anaongezewa dau..lazima iwe ngumu kidogo.coz inahitajika pesa ndefu
Fatina mfigi
Ngoja tusubir tuone mwisho itakuwaje
Sauda
Tunasubiri mwendelezo
zeiyana
kwa ali ya uchumi ilivyopolomoka sizani kama juventus wataweza kumuongezea hilo dau dybala
Tatu
Wakae chini waongee
Nasra
Dyabala atafute ustrabu mwengine
Khadija
Juve lazima watamuongezea tu mkataba
Mwajumah
Acha tungoje muhafaka utavyokua
Hopemwaikuka
Sio mbaya akiongezewa
aisha
Duuh tunasubili itakuaje
Povel
Kila la kheri Kama hatabaki Turin
Issa
Diabala ni wakati wa kutafuta ustsarabu mwengine
Saupha mohamed
Kila la kheri
Fatuma kasomo
Ngoja tusubir
Ernest
Dybala lazima ataondoka tuu Juventus
Elika
Aende tuu
Sabrina
Dybala atasepa tu
warda
Pesa hakuna Lazima mazungumzo yasimame