Salomon Kalou anakaribia kifikia makubaliano ya uhamisho wa bure kwenda Botafogo, kutoka na ripoti za voingozi wa klabu hiyo ya Brazili.
Mchezaji wa zamani wa Chelsea Kalou atakuwa amemaliza mkataba wake na Hertha Berlin mwishoni mwa mwezi Juni kwasasa yupo kwenye mazungumzo na miamba hiyo ya Rio de Janeiro.
Botafogo, wana kiungo wa zamani wa Milan Keisuke Honda kwenye vitabu vyao, walishindwa kufikia makubaliano na Yaya Toure, ambaye mgombe Uraisi wa Vasco da Gama Leven Siano ameahidi kumsaini.
Japo, wanamatuaini ya kusajili mchezaji wa zamani wa Ivory Coast kwenye klabu yao karibuni.
“Tayari ana mkataba wa awali, alitaka kufahamu kuhusu taarifa moja kwenye mkataba tukamtumia,” ilisema taarifa kutoka Botafogo.
“Nadhani ni sawa na kama hakuna mgombe wa uraisi wa Vasco atakeliingilia, nadhani anaweza kuja..”
Botafogo imeripotiwa wamepa ofa ya mkataba wa miezi 18 japo watapata upinza kwa vilabu vya Ulaya.
Hope mwaikuka
Kila la heri
Njiku
Ipo poa hii Solomon kalou yupo fiti bado hacha akamalizie mpira wake huko botafogo
Povel
Kila la heri mwamba wa ivory coasty na legendary wa Chelsea na hertha Berlin thnks meridian bet kwa update
Hamidu
Habari njema kwa mashabiki wake#meridianbettz
Gabriel
Kalou ameshazeeka kabisa
# meridianbet Tanzania
Issa
Kalou kamalizie soka huko
Furahav
Wafrika kuna wachezaji wazuri,km huyu kalou ni mchezaji hatari sana.
Fatuma kasomo
Yupo fiti acha akamalizie mpira wake
Ester jackson
Kalou yupo vizuri sana anajua mpira
nasra
Yupo vizur hyo
Edgar
asante kwa taarifa na uko ndo anapoenda malizia soka so kila la heri
Ernest
Kalou bonge la mchezaji sema amepotea mapema
Tahiya
Kalou bdo analipa kumbe duuh
Sabrina
Maoni:Kalou anajua mpira
Samiah
Kalou amepoteza mapema
fatumakasom
Bonge la mechi sema amepotea mapema
Neema juma
Ni vizuri ku a na uzoefu wa ligi tofauti. Safi Solomon
JULIANA
Kumbe bado yupo fit
Omary lukumbi
Daa huyu jamaa sijui wap
Latifa juma mohamed
Kila kher kwake
Johnmary joel
Nimchezaji mzuri#meridianbett
Evaluziga
Bado anadai
Caroline
Karibu Botafogo.
Devotha
Ni habari njema! Kila la kheri kalou
Genia Sikaluzwe
Kila kher huko aendako kalou
Magdalena
Nendà kamalizie uko mbele ya safar kila LA kheri
Dorophina
Ni habari nzuri kwa mashabiki wao
warda
Jamani huyu Kalou Bado yupo ha haaaaa#Meridianbettz
Emmy cleopa
Ni habari nzuri
Amani
hacha akamalizie mpira wake huko botafogo
farida ahmadi
Hongera Sana kalou huko botafogo ndio utakapoenda kumaliza soka
Amiri Kayera
Mwamba bado soka la upinzani analiweza
felister
kila la kheri uko uendako
Angelina
Ni jambo zuri kila kheri
Salma
Kama kuna panalipa safi sana
Lydia Emmanuel Magoti
Nijambo jema kwake
Rehema
Ni Jambo njema sana
Zeiyana
Kalou alikua nomaa sana akiwa pale darajani kitambo hicho
Elika
Kila la kheri anakoona yeye Palo sahihi kwake
Shafii
Wana Chelsea tunamkumbuka Sana kalou alikua moto Sana alipokua akitumikia the blues kwa sasa kiwango kimeshuka na umri nao ndo ushamtupa mkono
isha
Jamaa ni fundi najua mpira
lombo
gud news
Asia Abdy
All the best
Kenani
Ila mguu wake wa kutoka sidhani Kama utakua mzur huko aendapo
Samira
Kila lakheli huko botafogo ukacheze kwa kiwango kizuri zaidi
Neema juma
Kila la kheri. Ila tutamkumbuka kwa juhudi alizozionyesha
Sadick
Ni jambo lisilofikirika kwa mchezaji wa Africa kusajiriwa America Kusini kwenye vipaji vya soka#meridianbettz
David Pere
Popote Misha yapo kapige kazi mzee baba
Tatu
Habari njema kwa mashabiki wake