Chelsea itamruhusu N’Golo Kante kutokufika mazoezini kwa hofu ya Corona, hata kama atakosa mechi zote zilizosalia.
Kiungo huyo Mfaransa amegomea ya mazoezi ya klabu yaliyoanza Jumanne, Cobham base.
Lakini ameamua kufanya mazoezi nyumbani na klabu yake ya Chelsea imemuunga mkono.
Kante ameogopa kuzua taharuki kwa wachezaji wenzake kwani mwaka 2018 aliwahi kuzimia wakati wa mazoezi, hata kaka yake alifariki kwa mshtuko wa moyo mwaka huo huo.
Kwa mujibu wa ofisi ya Taifa ya Takwimu, waume kwa wake weusi wako hatarini mara mbili zaidi kufa kwa Virusi vya Corona kuliko watu weupe walio Uingereza na Wales.
Maamuzi ya Kante yana randana na maamuzi ya nahodha wa Watford Deeney.
Chelsea haijui ni lini mchindi huyo wa Kombe la Dunia atarejea mazoezini, yaliyoanza wiki hii kwa vikundi vidogo vidogodo.
Lakini Chelsea wameelewa maamuzi ya Kante na wakati huu Cobham imefanywa salama na hakuna hatua zilizochukuliwa kwa nyota huyo wa zamani wa Leicester kubadili maamuzi yake.
Hatua ya kwanza ya mazoezi imeanza kwa vilabu vya Premier League wiki hii, wakiwa na matumaini msimu uliosimama Machi 13 uaweza kuendelea katikati ya June.
Chelsea wana mechi tisa zimesalia wakiwa nafasi ya nne kwenye msimamo.
frank patrick
Kiungo Fundi kabisa ….msimu ujao tunamuona Madrid huyu kagoma kijanja hapo tu
Ester mmakasa
Hatimaye karuhusiwa kufanya anachojisikia ni bora sana .
Hamidu
Vizuri .kante kiungo mkabaji Bora Sana.
Theonestina
Kante yuko vizur Sana
Salma
Ni uwamuzi nzuri
winfrida
namkubali sana kante mungu amsaidie aendelee na mazoezi
Swai
Kante yuko vizuri sana
Gabriel
Kante anajua anachokifanya
Juliana
Kante fundi kinyama
Furahav
Yuko poa jeshi.
mwakalosi
kashinda kusimamia kile anachoamini ila tunapenda kumuona kwenye pitch akimaliza ligi
David pere
Nimuhimu kujiweka fiti kabla games hazijaanza
Lombo
gud newz
Antony Luseno
Kutokuwepo kwake katika kumalizia ligi kunaweza kukaifanya Chelsea kushuka katika top four
Povel
Kante yupo vzr next season atakwend psg ndo maana kagoma kuongezah kandarasi mpya thanks meridian kwa information za burudani na michezo
Genia Sikaluzwe
Kante noma Sana
Hope mwaikuka
Kante ni balaa lingne kwakwel
felister
ni Jambo jema kama timu yake wamemruhusu afanyie mazoez nyumban
Warda
Bora akae nyumban Kante wangu#Meridianbettz
Ernest
Duuhh!!!
aisha
Kante yuko vizuri namkubali sana
Shafii
Inapaswa uwe na msimamo wako binafsi safi ngolo
Mariam mtandama
Duuuh
Theckla
Ana msimamo mzuri
SADICK
Ngolo hajafanya uamuzi sahihi, changamoto inakabiliwa sio kukimbiwa# Meridianbettz
Devotha
Kafanya uwamuzi sahihi
Neema hassan
Kante yuko sahihi kabisa
Rehema Dickson
atakwend psg ndo maana kagoma kuongezah kandarasi mpya thanks meridian kwa information za burudani na michezo