Mlinzi wa Sevilla Jules Kounde amethibitisha alifanya mazungumzo na Kocha Pep Guardiola juu ya uhamisho wake wa kwenda Manchester City na alihakikishiwa juu ya kupata muda kucheza.
Kounde amecheza mechi 40 katika timu ya Sevilla ikijumuishwa michezo tisa ya kwenye mbio zao za ubingwa wa Europa League.
Mchezaji huyo anaye iwakilisha timu ya Ufaransa ya vijana wenye umri chini ya miaka 21 yupo kwenye fomu na alikuwa akihusishwa kujiunga na Manchetser City katika dirisha la usajili lililopita lakini dili hiyo haikufanikiwa.
Kiongozi wa michezo wa Sevilla Monchi alisema mwezi September kwamba mchezaji wao alipata ofa na klabu ambayo hakuitaja jina, wiki moja kabla Manchester City haijamsaini Ruben Dias kutoka klabu ya Benfica.
Kounde aliisadia Sevilla kupata clean sheet mbili katika michezo mitano ya LaLiga msimu huu lakini amekiri kuwa alikuwa na nia ya kuhamia Manchester City.
“Ndiyo, niliongea na Guardiola,” aliiambia Canal Football Club. “niliongea naye kwenye simu na mazungumzo yalikuwa mazuri.
“Nilikuwa nikivutiwa kwenda huko, ilikuwa ni fursa makini nilikuwa nimehakikishiwa nuda wa kucheza lakini mpango haukukamilika.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.
Mwajumah
Kounde inaelekea anahamu sana na man City yeye atulie tu kwan Guardiola alimuakikishia kwenda uko lkn mipango haijakaa pow kabisa
magdalena
kounde afanye tu mazungumzo mazuri na guardiola atachukuliwa
Fatina mfingi
Mmmh
Adelta
Hili ni bonge la makala
Elika
Hatar sana
Ester jackson
Ingawah gurdiola alifanya mazungumzo na kuonde hakuwah chaguo la kwanza la kwanza ndo maana hakufany usajil huo na kumsajil beki kutok benfica Ruben Diaz
Angelina
Nice update
Rahma
Nice
Lydia Emmanuel Magoti
Konde afanye mazungumzo na Guardiola amchukue
lombo
vzr
Hopemwaikuka
Dah
Rehema
Eeeeh bwanae
Povel
Kounde hakuwah chaguo sahihi la pepe gardiola ndo maana usajil wake haukafanyika mpka sasa
aisha
Kazi ipo jamani
Saupha mohamed
Dhuuu
Issa
Kounde pep asikufanye uache timu ambayo inakupa nafas wakat ye muda hana hapo city
Sauda
Kounde aongeze vizuri na Guardiola ili achukuliwe
Tatu
Kazi ipo
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet.
Sania
Hatari
samiah
Nihatar
warda
Habari nzuri sana