Frank Lampard amesema Chelsea wamepata nguvu baada ya uthibitisho wa majeraha ya nyonga waliyopata wachezaji wake Hakim Ziyech na Callum Hudson-Odoi sio mbaya.
Kiungo mshambuliaji wa Morocco Ziyech alitolewa nje katika ushindi wa 3-1 wa Chelsea dhidi ya Leeds United kwenye Ligi ya Premia wikiendi iliyopita, wakati winga wa England Hudson-Odoi alipata jeraha sawa na Ziech wakati wa mazoezi.
Lakini, bosi wa Chelsea Frank Lampard alisema baada ya sare ya bao 1-1 na Krasnodar katika mchezo wao wa mwisho wa kundi la Ligi ya Mabingwa Jumanne kwamba wawili hao watarudi hivi karibuni.
Chelsea watakutana na Everton kwenye Ligi ya Premia Jumamosi kabla ya mechi dhidi ya Wolves na West Ham mwezi Disemba 15 na 21.
“Wachezaji wote wanatarajia kuwa fiti kwa wiki moja Jumatano,” Lampard aliambia mkutano wa waandishi wa habari baada ya mechi.
“Walikuwa na uchunguzi ambao unaonyesha majeraha yatakuwa wiki mbili, kwa hivyo hiyo ni nzuri, haswa na Hakim.
“Pamoja na Callum hatukujua nini cha kutarajia wakati aliumia katika mazoezi siku kadhaa zilizopita.”
Ushindi kwa Chelsea dhidi ya Krasnodar ungewapa alama za juu kabisa katika hatua moja ya kundi la Ligi ya Mabingwa (16).
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Dorophina
Habari njema kwa chelsea na mashabiki zake
Shakila mrope
Good New
Rahma
Saf
Sarah
Habari njema
Adelta
Itakuwa ni vizuri zaidi kwa Chelsea kuimarisha kikosi
Issa
Makin sana
Neema
Kama wanaendelea vzr tunashukuru Mungu
Fatina mfingi
Safi sanaa!!
Caroline
Afadhali
Saupha mohamed
Safi
[email protected]
Habari njema
Fatuma kasomo
Habari njema
Hopemwaikuka
God is good
Theonestina
Habari njema
Genia Sikaluzwe
Safii
Tatu
Habari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana habari nzuri hii kwasisi mashabiki
samiah
Nihabari njema kwasisi mashabiki
warda
Afadhali wapone
Povel
Nice update
aisha
Safi sana chelsea