Fowadi wa AC Milan Rafael Leão alifunga bao la haraka zaidi katika historia ya Serie A Jumapili, akifunga baada ya sekunde sita tu huko Sassuolo.
Mshambuliaji huyo wa Ureno ameweka rekodi mpya kwa bao la kasi zaidi kunako ligi ya Serie A baada ya kutupia wavuni baada ya sekunde sita tu kwenye Uwanja wa Mapei.
Na ilikuwa ni goli lake la tatu katika ligi ya Serie A la Leao msimu huu, na la nne katika mashindano yote.
Wataalamu wa takwimu walisema goli la kijana huyo wa Ureno lilivunja rekodi ya awali ambapo goli lilifungwa sekunde ya nane goli lililofungwa na Paolo Poggi wa Piacenza dhidi ya Fiorentina mwaka 2001.
Hakan Calhaonglu aliongeza goli lingine kwa timu ya Milan goli la pili baada ya dakika 9 lakini goli la mchezaji huyo wa kimataifa wa Uturuki lilikataliwa kwa kuotea baada ya ukaguzi wa VAR..
Viongozi wa Serie A Milan walikuwa alama moja mbele ya Inter Milan inayoshika nafasi ya pili kwenda kwenye mechi za Jumapili.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri hongera yake
Dorophina
Hongera kwao
Agness
Safi sana kijana kwa bao la ushindi
Janeflora malisa
Safi
Latifa juma mohamed
Safi Sana.
Issa
Hii ni kali zaid
samiah
Safi
Johnmary jo
Jamani inafurahisha sanaa#meridianbett#
Adelta
Hongera kwao
Rahma
Pongez kwao
Sarah
Safi sana
warda
Magoli ya mapema mapema huwaga ni ngumu kuyarudisha
Mwanahamisi
Safi sana
aisha
Big up kwao
Hopemwaikuka
Gud job
Mariam mtandama
Safi
farida ahmad
Safii Sana
Tatu
Safi sana
Amani Maeda
Great Work