Diego Maradona anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji wa ubongo na tayari anajihisi yupo katika hali ambayo anaweza kuruhusiwa kutoka hosptali, hii ni kwa mujibu wa daktari wake binafsi Leopoldo Luque.
Gwiji huyo wa Argentina alifanyiwa operesheni ya ubongo siku ya Jumanne siku moja baada ya kupelekwa hosptali kutokana na matatizo ya anemia na dehydration yanayomsibu.
Luque hapo nyuma alibainisha “shughuli” ya upasuaji wa Maradona imemalizika kwa mafanikio. Kila kitu kimeenda kama ilivyopangwa. Hali ya Diego iko sawa na amepumzika chumbani kwake.” kwa sasa amesema juu ya hali ya Maradona mwenye umri wa miaka 60.
“Matibabu yanaendelea vyema,” amesema nje ya Kliniki ya Olivos mjini Buenos Aires ambako maradona anakaa.
“Anajihisi anaweza kutoka hospital, anajihisi kama tayari yupo sawa anaweza kuruhusiwa kutoka hospitali anaweza kutembea.
Maradona ambaye alifanikiwa kushinda kombe la dunia akiwa na Argentina mwaka 1986 na kuiongoza Napoli kushinda mataji mawili ya Serie A, alichukua mikoba ya kuinoa Gimnasia y Esgrima La Plata tangu mwaka 2019.
Mchezaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ametuma salamu za kumtakia kheri kupitia mtandao wa kijamii siku ya Jumatano, alipost: “Familia yangu na mimi tunakuombea urejee kwenye hali yako ya kawida,mkumbato wa dhati kutoka kwenye nyoyo zetu!”
Hii ni halisi kwa ajili ya mashujaa wote! Ukiwa jasiri unavuna mkwanja kibao hapa na sloti hii ya Huangdi Casino. Waka nusu tukupe maradufu!
Adelta
Vizuri Sana π
zeiyana
sizani kama maradona hatakua vizuri kama zamani kutoka na jeraha alilopata na umri alio kua nao tusubiri kuona kustaafu kwake
Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa meridianbet
Nasra
Maradona legend mweny historiakubwa
Shani
Habr njema apone araka
Caroline
Mungu ni mwema
Ester jackson
Kila la heri katika afya yako maradona
Issa
Maradona legend alieacha historia kubwa
Hopemwaikuka
Gud to hear this
Sauda
Afadhali
Dorophina
Pole yake maradona mungu atamsaidia atapona
Khadija
Tunafuraha sana kusikia hivo kama anaendelea vzr
Povel
Get well soon ππΌππΌππΌππΌππΌ
Elika
Soon atakuwa sawa
Fatina mfigi
Daaah Ni Jambo nzur sanaa!!
Mwajumah
Hakika ni habari njema sana
Tatu
Mungu asaidie apone aludi kwenye kazi yake maradona
Angelina
Goodnews
Saupha mohamed
Mungu amsaidie
Sabrina
Pole sana maradona huyo ni gwiji kwenye soka
warda
Pole yake jamani