Meneja wa zamani wa Milan ameteuliwa kuwa meneja mpya wa klabu ya Torino. Meneja huyu anaripotiwa kuwa amesaini mkataba wa miaka miwili kwa sasa.
Torino waliachana na meneja wao aliyepita, Moreno Longo baada ya kutoa sare ya 1-1 dhidi ya Bologna wakati wakimalizia kampeni yao ya Serie A Agosti 2.
Longo, ambaye alichukua nafasi ya mtangulizi wake Walter Mazzarri mwezi Februari, amefanikiwa kushinda mechi 3, na kutoa sare mechi 4 katika jumla ya mechi 16 za ligi. Mchango wake umeishia kuwasaidia Torino kusalia kwenye ligi kwa pointi 5 zaidi juu ya mstari mwekundu wa kushuka daraja.
Ijumaa ya Agosti 7, klabu imethibitisha kuwasili kwa Giampaolo klabuni hapo, ambaye amesaini dili la miaka miwili.
Hiki, kinakuwa ni kibarua cha kwanza cha Giampaolo tangia alipoondoka Milan mwezi Oktoba, ikiwa ni miezi minne tu tangia alipofika klabuni hapo. Meneja huyu wemye miaka 53, alitimuliwa na Milan baada ya kupoteza gemu 4 kati ya gemu 6 za kwanza za ligi kwa msimu mpya.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Shafii
Marco giampolo ni kocha mzoefu na mahiri cha msingi wana Torino wampe support kubwa na ushirikiano wa dhati watafikia kilele cha mafanikio.
Mwajumah
Marco ni kocha mzuri sana Wana Torino hakika mmempata chombo kikubwa ni ushirikiano ili mfike kwenye kilele Cha mafanikio
Ernest
Torino wamegundua Marco Giampaolo anakitu ndani yake ambacho kitaweza wasaidia katika kupambana ndani ya Serie A
Sauda
Wana Torino wampe nguvu Marco ili aweze kufika anapotaka…
Dorophina
Marco yupo vizuri ndiomaana Torino wamemuamini
Mwanahamisi
Marco namkubali sana
Khadija
Marco ni kocha mwenye uzoefu na mahiri wampe ushirikiano wa dhati wafike kilele cha mafanikio#meridianbettz
Zeiyana
Huu ndio muda wake kocha giampaolo kufukia makosa yote yaliyo tokea
Nasra
Torino kumuamn marco awakosea
Caroline
Hongera sana
Fatina mfingi
Makal nzur
Lydia Emmanuel Magoti
Hongera kwake Marco nikocha mwenye kujua mwenye uwerewa kujua Nini anafanya kwenyekikosi chake chakazi
Sadick
Msimu wa kusuka vikosi pamoja na bench la ufundi na Torino wamezingatia usemi wa wahenga kwamba ukiona timu inayumba badili Meneja#meridianbettz
aisha
Marco kila la kher broo huko uendako
Janeflora malisa
Safi sana
Tatu
Hongera kwa uteuzi
magdalena
torino wamepata meneja mzuri sana
Devotha
Hongera sana
felister
Marco ana kitu ndani yake ambacho kitaweza kuwasaidia
Furahav
Kweli kazi ya ukocha ngumu sana.
Gabriel
Nice update 👍
farida ahmadi
Habari njema Sana
Saupha mohamed
Hongera
Amiri Kayera
Safii
Latifa juma mohamed
Safii
David Pere
Good news
Genia Sikaluzwe
Safii
Ester jackson
Msimu wa kusuka vikosi pamoja na bench la ufundi na Torino wamezingatia usemi wa wahenga kwamba ukiona timu inayumba badili kocha
Samiah
Safiii
Sabrina
Safi sana
Omary lukumbi
Good news kwa torino
warda
Kwa hili Torino wamebugi