McTominay amekua mchezaji wa kwanza katika historia ya Ligi Kuu ya England kufunga mara mbili katika dakika tatu za mwanzo za mechi wakati Manchester United ikiongoza kwa 2-0 dhidi ya Leeds United.
Katika mechi yao ya kukutana kwa mara ya kwanza kwenye ligi na wapinzani wao ni zaidi ya miaka 16 imepita, McTominay alifungua bao baada ya sekunde 66 tu aliweza kufunga
Ilikuwa ufunguzi wa haraka zaidi wa United kwenye Ligi ya Premia tangu Robin van Persie alipofunga baada ya sekunde 31 dhidi ya West Ham mwezi Novemba 2012.
McTominay alifunga kwa sekunde chini ya dakika mbili baadaye, akikimbia mpaka kwenye eneo la hatari na kukutana na pasi ya Anthony Martial na kumaliza vizuri nyuma ya Illan Meslier.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Scotland aliiweka mbele United kwa goli mbili ndani ya sekunde 170 – ni timu ya kwanza kufunga magoli mawili kwa haraka tangu Arsenal walipofunga mabao mawili kwa sekunde ya 164 dhidi ya Newcastle United mwezi Februari 2011.
United walikuwa wakiongoza kwa 3-0 hadi dakika ya 20, na Bruno Fernandes akiendelea kuisumbua ngome ya Leeds.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Agness
Duuh hongera zake kwa ushindi wa kishindo
Janeflora malisa
Safi
Latifa juma mohamed
Hongera zake
Issa
Hii ndio united
samiah
Safi
Dorophina
Pongezi kwake mc tominay
Johnmary jo
Hongera zake zid kupambana zaid#meridianbett#
Adelta
Yuko vizuri
Rahma
Saf
Sarah
Ongera yake
warda
Mctominay amenikosha sana
Shakila mrope
Hii ndio United 🔥🔥🔥
Mwanahamisi
Hongera yake
aisha
United noma sana
Hopemwaikuka
Kaz kaz
Lydia Emmanuel Magoti
Safii kaz kaz
Mariam mtandama
Safi
Saupha mohamed
Safi
farida ahmad
Pongezi sana
Tatu
Hongera sana
Amani Maeda
Brilliant