Mechi ya Norway dhidi ya Romania katika michuano ya Nations League ambao ilipangwa kuchezwa siku ya Jumapili imehairishwa baada ya mamlaka za afya kuthibitisha baadhi ya wachezaji kuwa na maambukizi.
Shirikisho la soka nchini Norway (NFF) limethibitisha kwamba mlinzi wa Garatasaray Omar Elabdellaoui ameambukizwa na tayari amejitenga na kikosi.
Norway ilikuwa ikitumaini kucheza wikiendi hii katika uwanja wa taifa wa National Arena mjini Bucharest kama ilivyokuwa imepangwa, lakini sasa wamezuiliwa kucheza gemu hiyo.
Rais wa NFF, Terje Svendsen amesema katika taarifa siku ya Jumamosi: “Norwegian Football Federation inaamini kwamba tunaweza kusafiri ndani ya utaratibu.
“Serikali ya Norway imesema hapa kwa hili, hatukubaliani na hilo lakini hatuwezi kwenda kinyume na Serikali.
Ndiyo mechi ya kwanza katika michuano ya Nations League kuhairishwa sababu ikiwa ni virusi vaya Corona.
“Hatukutarajia kama mamlaka zingetu lazimisha kukaa nyumbani,” Svendsen aliongeza: “Mataifa yote 54 ya UEFA Nations yanaendelea kucheza juma hili isipokuwa Norway pekee.
Unakuwa mchezo wa Pili kwa Norway kuhairishwa wiki hii baada ya kukatisha mchezo wa kirafiki dhidi ya Israel baada ya straika wapinzani wao Munas Dabbur kupatikana na virusi vya corona.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!
aisha
Duuh covid 19 ni tishio
Hopemwaikuka
Corona inazid kuwa kikwazo kila iitwapo leo
Saupha mohamed
Corona gumzoo
Povel
Covid 19 ni janga la dunia nzima
Nasra
Corona sio poa
Sabrina
Jamani! Hii corona hii ituache tufanye yetu
Issa
Corona inatukosesha uhondo
Zahara Omary
Corona inazingua
Magdalena
ili gonjwa linazidi kuharibu kila mipango
Adelta
Coronavirus sio poa inakwamisha mambo mengi
Mwajumah
Corona imeharibu Kila kitu hapa duniani
Fatina mfigi
Hii Corona imekuwa mtihan ss!!
Shakila mrope
Poleni san kwa janga la corona
Ester jackson
Dash kwa kweli hili janga linatukwamisha kupata pesa nyingi mana katika mkeka bado timu hii tu nipate pesa nyingi sasa naenda kupata pesa ndogo .poleni sana ambao mnaumwa mwenyezi mungu tusaidie kuliondoa janga hili kabisa Amen
Rahma
Ihi corona noma sana
Amiri Kayera
Dahh
zeiyana
Korona hishakua too muchi kwa kweli sijui litaisha lini ili gonjwa
Khadija
Corona sasa bac
Elika
Hili janga la Corona sasa lishakuwa tishio kwa nchi za wenzetu huko
Angelina
Corona iishe tu jamn
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa gonjwa Lina katisha tamaha kwenye michezo mungu awape moyo wa subila kwenye michezo ya kisoka nakazalika
Carolyn
Corona noma
Sauda
Corona siyo poa