Paul Scholes amechukua nafasi ya kuwa kocha wa muda mfupi wa timu ya Salford City baada ya timu hiyo ya League Two kumfungisha virago Graham Alexander siku ya Jumatatu.
Mkongwe huyo wa Manchester United amepewa muda wa siku 31 kuchukua mikoba ya mtumishi mwenzake katika klabu ya Oldham Athletic mwaka uliyopita.
Alikuja kuwa msimamizi wa Salford baada ya Salford kutofungwa katika ligi msimu huu, na wameamua kukatisha mkataba na Alexander baada ya utawala mpya uliyoanza mwezi mei mwaka 2018 ikijumuishwa kuipandisha kutoka katika Conference National.
Mechi ya kwanza ya Scholes mara baada ya kukabidhiwa usukani wa Salford, baada ya kukubali sare ya 2-2 dhdi ya Tranmere Rovers siku ya Jumamosi, itachezwa Port Vale wikendi hii.
Mchezaji huyo mwenye umri 45 ni sehemu ya umiliki wa Salford akiwa na wachezaji wenzake wa zamani wa United David Beckham, Ryan Giggs,Nicky Butt,Gary na Phil Neville wote wakiwa wamewekeza katika klabu hiyo.
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.
Ernest
Pongezi kwa Paul Scholes
Povel
Pongez kwa legend PAUl scholes ss mashabik wako tupo nyuma Ako
Rehema
Hongera kwa paull scholes
Sadick
Moja ya viungo bora kbs kuwahi kucheza Man U
Sabrina
Hongera sana
Dorophina
Wamepata kocha mzuri sana enzi zake Paul alikuwa ashikiki
aisha
Anasitahili pongezi
Flomena
Great
Fatuma kasomo
Safi sana
Sauda
Pongez kwake
Elika
Huyo kiungo yuko vizur sana
magdalena
safi sana scholes
Venerose
Big up
Neema
Safi sana
Tatu
Pongezi kwake
Genia Sikaluzwe
Good
Mwanahamisi
Safi
Caroline
Sawaaaaaa
Mwajumah
Pongezi kwake
Janeflora malisa
Pongz kwak
Gabriel
kocha mzuri sana enzi zake Paul alikuwa ashikik
Hopemwaikuka
Gud