Naelewa kwa Nini Thiago Anaitaka EPL

Kocha mkuu wa Bayern Munich Hansi Flick anasema anaweza kuelewa kwanini nyota anayetajwa kufukuziwa na Liverpool, Thiago Alcantara anataka Ligi Kuu.

Mkataba wa Thiago unaisha mwaka ujao na tayari mwenyekiti wa Bayern bwana Karl-Heinz Rummenigge alithibitisha mwezi uliopita kuwa kiungo huyo atawaacha mabingwa hawa wa Bundesliga.

Liverpool ndiye anayetajwa kuiwania saini ya staa huyu wa zamani wa Barcelona, ​​wakati Paris Saint-Germain pia wakihusishwa na staa huyu wa Uhispania.

Bosi wa Bayern Flick alieleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kuwa anataka kuhamia Uingereza, akionesha masikitiko yake juu ya staa huyu mwenye miaka 29 kutaka kuondoka.

Naelewa kwa Nini Thiago Anaitaka EPL
Thiago

Flick aliiambia Sport1: “Ninaweza kuelewa kuhusu shida ya mchezaji. Thiago alichezea Uhispania kwa FC Barcelona na Bundesliga kwa FC Bayern Munich.”

“Ikiwa anataka kujaribu tena kwenye Ligi Kuu Uingereza kwa sasa, ninamuelewa kabisa. Lakini itakuwa aibu kwa sababu Thiago anaongeza kitu fulani kwenye mchezo wetu.

“Ndiyo maana, kama kocha ningependa ningependa kuwa naye kwenye timu kwa miaka michache ijayo, lakini ndio maisha. Yataendelea.”

Bayern wataumana na Chelsea kwenye mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa ya muzunguko wa mwisho wa mtoano wa timu-16 Jumamosi na baada ya kushinda cha 3-0 kwenye mechi ya mzunguko wa kwanza walipokutana na Stamford Bridge.


Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia Mchezoni

36 Komentara

    Good news

    Jibu

    Itakua poa sana km ataenda kweli liver hapo klabu inabidi kuchangamkia dili

    Jibu

    Itakuwa poa kweri kamak Liverpool awakichangamkia Fusta iyoo

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Makala bomba!!!

    Jibu

    Gud news.

    Jibu

    Asante kwa makala nzuri
    #meridianbettz

    Jibu

    good news

    Jibu

    Ameshaona njia imenyooka sasa anaaza madaha nyie kapambaneni ili muwe mbali zaidi mana naona katika mchezo huu mmeshashinda tayari

    Jibu

    Makala pendwa#meridianbettz

    Jibu

    Thiago ameona mbali

    Jibu

    Thiago yupo vizuri

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Makal nzur

    Jibu

    Thiago anataka baada ya kustaafu awe kumbukumbu ya kucheza Ligi 3 maarufu duniani EPL, BUNDESLIGA na LA LIGA. Namutakia kila la kheri EPL#meridianbettz

    Jibu

    Aende tu EPL.

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Good

    Jibu

    Atatikisa liverpool

    Jibu

    Kuna ktu Epl

    Jibu

    Eti

    Jibu

    Good newz

    Jibu

    Nice update 👍

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Ni huzun inampata kocha yoyote yule endapo anapo ikosa huduma ya thiago n mchezaj mahir sana

    Jibu

    Habali njema

    Jibu

    Ujumbe mzuri

    Jibu

    Kutua kwake ndani ya EPL kutaongeza CV kwenye historia yake ya soka na pia EPL ni ligi kubwa barani ulaya

    Jibu

    Makala bomba

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    jambo jema sana

    Jibu

    Atapeleka changamoto

    Jibu

    EPL ni ligi Bora zaidi duniani kuliko nyingine

    Jibu

    Timu nyingi zinamkubali sana huyu jamaa

    Jibu

Acha ujumbe