Said Ntibazonkiza atumiwa ujumbe na Mayele, Aliyekua mchezaji wa klabu ya Dar Young Afrika Saidoo Ntibazonkiza ametumiwa ujumbe wa kuagwa na mshambuliaji wa klabu hiyo Fiston Kalala Mayele, Ujumbe huo uliokua na sura ya kudhihirisha urafiki wao na namna wachezaji hao wameshibana na kua na umoja ndani ya klabu hiyo
Kupitia ukurasa wa instagram wa mchezaji wa klabu ya Yanga Fiston Mayele amemuaga aliyekuwa mchezaji wa klabu hiyo Saido Ntibazonkiza mara baada ya mkataba wake kumalizika klabuni hapo.
Mayele ameandika.
“Nibazonkiza Nakutakia kila la kheri najua sio mwisho wetu kwa sababu ulikuwa unamchango mkubwa kwangu ntaendelea kukukumbuka ntakumiss sana najuwa tutaendela kuwasiliana lakini bado ulikuwa unaumuimu kwangu nakupenda kaka yangu’
SHINDA Samsung A32 ukiwa na mchezo wa Aviator kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet! Kwea pipa ukusanye zawadi zako pamoja na ushindi mnono wa mkwanja!