Pedri ameishukuru klabu ya Real Madrid kwa kutomsajili, amesema yupo mahali alipokuwa akitaka kuwa katika klabu ya Barcelona.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 17 alijiunga na miamba ya LaLiga Barcelona akitokea klabu ya Las Palmas mwezi Julai na amefanikiwa kufunga mara mbili katika michezo kumi ya Barcelona msimu huu.
Lakini, inaeza kuwa ni tofauti kwa kinda huyo, ambaye alipigwa chini na Real Madrid baada ya kufanya majaribio kwa Los Blanco.
Pedri, ambaye anawakilisha timu ya vijana ya Spain amesema amefurahi baada ya kukataliwa na mahasimu wa Barca.
“Nilikwendakufanya majaribio Real madrid lakini waliniambia sina uwezo wa kucheza katika klabu hiyo,” aliiambia Cadena SER siku ya Jumatatu.
“Namshukuru yule mtu alisema sema sina faida, sasa nipo kwenye timu niliyokuwa nikiipenda siku zote.
Barcelona wamekaa nafasi ya nane katika jedwali la LaLiga alama tisa nyuma ya vinara wa ligi hiyo Real Sociedad, ingawa wemcheza mechi chache kuliko viongozi wa ligi hiyo.
Pedri, ambaye ameanza katika michezo mitatu msimu huu, anafurahia fursa aliyopata ya kucheza na mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or mara sita, Lionel Messi.
“Kweli nilikuwa na ndoto ya kucheza na Lionel messi kama ilivyo kwa watoto wengi,” alisema
Barcelona wanajiandaa kuikabili Atletico Madrid siku ya Jumamosi mchezo wa ligi baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.
Ester jackson
Jitahidi utakuwa bora hapo back mana kunawachezaji ambao wako vizuri
Gabriel
Itabid afanye Kaz tu sio kushukuru kuwa kwenye club kubwa
magdalena
barcelona ni sehemu nzuri ingawa uchumi umeyumba kidogo
Adelta
Pedri ni mmoja ya vijana wanao chipukiah kwa Kasi kubwa sana
Carolyn
Hongera sana
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana pedri
Elika
Hongera sana
Sauda
Kaza buti kijana
Hopemwaikuka
Vzur sana
Angelina
Goodupdate
zeiyana
Kinacho takiwa waongeze juudi hapo alipo so kila kitu kinaenda na wakati wake
Fatuma kasomo
Gud news
Ernest
Ni wakati wake wa kuwaonyesha Madrid kiwango chake ili wajutie makosa walioyafanya
Saupha mohamed
Hongera sana
Janeflora malisa
Safi
Tatu
Pedri anaweza kuifikisha mbali barcelona sababu ni clab aliyokuwa na ndoto za kuchezea hapo
aisha
Usikate tamaa pia ongeza jitihada zako
Povel
Kila la kheri
Issa
Madrid wajikaz sana kwa kua wamepwaya sana
Khadija
Hongera sana
Fatina mfingi
Nice
Mwajumah
Itabidi afanye kazi sio kushukuru tu kuwa kwenye clabu kubwa
Rahma
Hongera sana
Sabrina
Pedro anaishi Barcelona kwa malengo
felister
kaza buti kijana
samiah
KAza buti kjn