Andrea Pirlo amesisitiza Paulo Dybala alikuwa muhimu kwake hali ya kuwa uvumi unaendelea kuhusu hatma ya mchezaji huyo wa Juventus.
Dybala, 27, anahusishwa tena na kuondoka Juventus ambao ni mabingwa watetezi wa Serie A licha ya matarajio kwamba ataongeza mkataba Juve, ambapo ana kandarasi mpaka 2022.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina, ambaye amekuwa akihusishwa na Manchester United, hakucheza kwenye ushindi wa 4-0 Jumamosi dhidi ya Parma kwa sababu ya jeraha la paja.
Alipoulizwa ikiwa Dybala alikuwa muhimu kwake, Kocha wa Juve Pirlo aliwaambia waandishi wa habari: “Kwa kweli. Mabingwa kama yeye huwa msingi kwa timu imara.”
Pirlo ana matumaini Dybala anaweza kurudi mapema Jumanne, wakati Juventus itakaribisha Fiorentina.
“Ninawafundisha wachezaji wote. Dybala ni mmoja wao. Tabia ni nzuri,” alisema.
“Kwa bahati mbaya, amepata jeraha hili dogo, na jana alijaribu kulazimisha, lakini alikuwa na wasiwasi angejiumiza zaidi. Tunatumahi kumrudisha Jumanne.”
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Caroline
Dyabala yupo vizuri
Sarah
Yuko poa sana Dyabala
Saupha mohamed
Jamaa yupo vizur sana
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuri
Hopemwaikuka
Anajua Sana dybala
Dorophina
Pirlo asikubali kumuachia paulo
Latifa juma mohamed
Yupo vizur
Issa
Dyabala mtu muhim juve
samiah
Yupo dud
Johnmary jo
Nimchezaji mzuri sana#meridianbett#
Rahma
Yuko vizuli mno
warda
Bora aende Man U
aisha
Yuko vizuri sana
Adelta
Ni Bora aondoke ande manchester atakuwa huru