Kocha wa Juventus,Andrea Pirlo amemsifu Christiano Ronaldo kwa kuuanza msimu mpya akiwa kwenye fomu na anatumaini ataendelea na kiwango hicho.
Ronaldo amefunga magoli 3 na kutoa asisti moja katika michezo miwili ya Serie A msimu huu 2020-21 na kuisadia Juventus kukusanya alama 4.
Kuelekea mchezo wa siku ya Jumapili dhidi ya Napoli, Kocha mkuu wa Juve Pirlo amemwagia sifa nyota huyo na kusema magoli mengi yanakuja kutoka kwa Ronaldo.
“Ronaldo anajituma sana, anakuwa wa kwanza kufika mazoezini na wa mwisho kurudi nyumbani,’ aliongea na waandishi wa habari.
“Naona ataendelea kufunga goli moja au mawili katika kila mchezo, ni mtu muhimu sana kwetu.
Ronaldo na Juventus wamepangwa watakabilaiana na Barcelona yenye Messi katika Champions League baada ya kupangwa kundi moja, wakati huo huo Dynamo Kiev na Ferencvaros pia wapo katika kundi hilo.
“Tupo kwenye kundi zuri, ni jambo zuri kuwakabili Barcelona kwa sababu inaleta jukumu la umakini kwa wachezaji wetu.” alisema.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
Hopemwaikuka
Gooo Cr7
Caroline
Ronaldo anajituma Sana….
aisha
Ronaldo hana mpizani kwenye sekta ya mpira
lombo
sahh
Povel
Ngoj tuone kwn umri wake now kwny soka unanipa mashaka
Amiri Kayera
Cr7 yupo motoo sana
Saupha mohamed
Ronaldo yupo vizuri
Mariam mtandama
Cr7 yupo vizur
Issa
Cr ni kaz ndog sana kwake
Fatuma kasomo
Cr7 tupo vizur
Latifa juma mohamed
Hakamatiki Ronaldo.
Neema
Ronaldo mtu makini
Theckla
Itafahamika
Zahara omary
👏👏
Tumaini kasalile
CR7 anajituma sana huo ni mgodi unaotembea
Asia Abdy
Nakubali CR7 mtu m bad
Adelta
Mashabiki tunamkubali sana Ronald
Aziza mushi
Cr7 namkubali
Janeflora malisa
Ni sawa
Ester jackson
Anaweza ronaldo anaweza kufunga bila wasiwasi
felister
anafunga bila ata wasiwasi
Lydia Emmanuel Magoti
Ronaldo mtu mbaya akoseagi
magdalena
ronaldo yupo vizuri sana awapo uwanjani lakini asipangiwe magoli ya kufunga sababu siku hazifanani
Elika
Safiii sana
Fatina mfigi
Ronald yuko vizur namkubali sana
Angelina
Cr7 jeshii
Zeiyana
Ukiachana na ufungaji wa magoli katika clabu pia kuna hishindani na mpinzani wake messi ukiangalia sasa wachezaji chipukizi wana moto wa hajabu lazima hajitume hipasavyo ili kutunza ufalme wake
Rose kapinga
Fundiiii
Mwajumah
Cr7 fundi bhana anajua sana uyu mtu
Sabrina
Sina shaka na CR7
David Pere
Ukiachana na ufungaji wa magoli katika clabu pia kuna hishindani na mpinzani wake messi ukiangalia sasa wachezaji chipukizi wana moto wa hajabu lazima hajitume hipasavyo ili kutunza ufalme wake
Samiah
Safi
farida ahmadi
Ronaldo Yuko vizuri
Rehema
Kiungo makini
Gabriel
Habar njema 👍