Kocha mkuu wa timu ya Juventus Andrea Pirlo amesisitiza Christiano Ronaldo hajapata umaalumu wowote katika klabu hiyo ya Serie A.
Ronaldo ameuanza msimu mpya vyema kwa kufanikiwa kufunga magoli nane katika michezo yake sita ya kwanza.
Aliweka kambani goli 2-0 mchezo ulipita siku ya Jumamosi dhidi ya Cagliari na Ronaldo alifikisha goli la 29 katika michezo 59 ya Juventus ndani ya Serie A.
Kuelekea mchezo wa Champions League siku ya Jumanne dhidi ya Ferencvaros, Pirlo alimuongelea Ronaldo na kusema mshindi huyo wa tuzo ya Ballon d’Or mara tano anachukuliwa kama wachezaji wengine.
“Nafanya naye kazi kama wachezaji wengine, mara nyingi napatikana uwanjani na nje ya uwanjani,” aliongea na waandishi.
“Ni rahisi kuwa na uhusiano mzuri na watu poa, nipo kama hivyo.
“nafanya naye kazi kama ninavyofanya na [Gianluca] Frabotta au [Manolo] Portanova ambao ni wachezaji makinda.
“Nafanya kitu hichohicho kama nilivyokuwa nafanya kipindi mimi ni mchezaji.
Magoli yote nane ya Ronaldo katika Serie A amefunga ndani ya box wakati pia ametengeneza nafasi kubwa nyingi.
Kuelekea kuwaongoza Ferencvaros, Juventus wapo nafasi ya pili katika kundi G alama tatu nyuma ya Barcelona.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.
Ester jackson
Nivyo inavyotakiwa kuwa wote wawe sawa mana ni wachezaji
magdalena
kabisa ronaldo ajione yupo sawa na wachezaji wote
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli Kabisa yupo sahii kwalichokiongea Pirlo
Sauda
Pirlo yupo sahihi kabisa
Sania
Inatakiwa wachezaji wote wawe sawa
Issa
Cr 7 ni mtu hatari
Angelina
Ni msimamo mzuri
Saupha mohamed
Yupo sahihi kabbaa
Caroline
Safi Sana.nimependa maneno yako
Hopemwaikuka
Wote sawa tu si na yy anakimbiza mpira Kama wenzie
Tatu
Ronaldo anaga majivuno
aisha
Ronaldo mtu mbaya
Fatuma kasomo
Namkubali sana
Povel
Cr7 ni kiumbe wa sayari nyngne
Adelta
Yuko sahii
Latifa juma mohamed
Yuko sahihi kiukweli.
samiah
Yupo sahihiii
Rehema
Yuko sawa
Fatina mfingi
Maneno yake yanaukweli ndani yake!!
Rahma
Ronald namuelewa sana
Mwajumah
Pirlo yupo sahihi
Sarah
Yuko vizuri ronaldo
Tahiya
Ronaldo ni mchezaji asiye na majivuno
warda
Habari poa sana
Ally mohamedi ally
Safi